Biashara ya kujiuza inavyowalipa wadada!

Biashara ya kujiuza inavyowalipa wadada!

Sio kweli bhana
Tena afadhari hata huyu unayemjua kuwa nikienda niandaye buku kumi yangu, halafu tukimaklizana yameisha... LAKINI HAWA WA MIZINGA YA JANUARY... mara ADA, mara PANGO, mara RASTA, mara KIJORA, ..... huyu anayejiuza wala hanaga hayo... yeye ukimpa buku 10 yake, anajua mwenyewe afanye lipi kati ya hayo ya KIJORA, RASTA, PANGO, ADA ...n.k

Hawa wengine ikiitwa RASTA, ujuwe ya PANGO utatoa tu,
 
Kutokana na mizunguko yangu mikoa kadhaa hapa nchini nimebaini mambo ambayo wengi hawayajui.

Nianzie morogoro huko nilikuwa club moja inaitwa nyumbani pub.wadada wazuri sana,short time ni elfu 30000 kulala ni 100000

Dodoma malaika club short time 25000
Kulala 80000

Tabora oxygen night pub short time 20000 kulala 40000

Kahama club chillers short time 20000
Kulala 35000
Sidhani kama Wateja ni wengi kwa maoni yangu naona Wateja ni wachache ndo maana bei ni ghali ili akipatkana angalau mteja mmoja basi sio mbaya
 
Back
Top Bottom