josephat manyenye
JF-Expert Member
- Dec 3, 2017
- 529
- 679
Huyo mwanamke wakumhonga laki kwa usku mmoja anakuwa na nini cha ziada humo ndani ambacho sehemu nyingine halipatikani??[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mkuu umedanganya hiyo bei
Yani kwa usawa huu ukalale na kahaba usiku mmoja kwa 100k
SI kweli tafadhali hebu rudi tena uwaulize mkuu.
Zamani nilikua napenda sana kwenda kunywa hapo kilimanjaro hotel kipindi ndio mpya mpya hivi, ila baada ya ukahaba kushamiri pakawa pa hovyo kuliko maelezo aisee.mkuu hapo nyumbani park moro, kuna vitu kweli watoto wazuri balaa, nilienda kugusa full night nikaambiwa kwa huruma nitoe 80000, kubageini sana ndo nikapewa kwa 50 ila chuma chuma kweli hata hujuti, wengi pale wanatoka dar, chillers kahama hata 15000 unapata ila pale kwa vile kamji kadogo nirahisi kurudia yule yule ukeenda hata kesho yake, musoma kuna chimbo linaitwa Emmembers AKA ubalozini hapo dada poa 20000 hadi 10000, ya kulala kabisa,Mwanza kuna chibo kilimanjaro hotel[nyegezi[ hapo nako ni 10000 up to 20000,bunda kuna NATTA bar hapo 10000 hadi kumi na tano.IKIMWI UPO CHEZA SALAMA.
Hahah kuna wakulipa upfront cash na hawa wakulipa kwa installment,kila siku unaletewa invoice mpyaHao waliotajwa na wa mizinga wote sawa tu... WAUZAJI...
Tofauti yao mwingine unalipa kwa kukubaliana kabla, na mwingine unamlipa kupitia vizinga na hamkubaliani kabla
nasikia wanaume mkiona wa hivi "mnauza match" kuuza match means, kwenda kavu kavu bila kingaKuwa makini mkuu
Mkuu vitz na porsche 911 zote ni gari na zinaweza kukufikisha from point A to B lakini moja unapata kwa m7 na hyo nyengine m400+ ).hata kwenye Uuzaji mwili kuna viwango.kuna low class na high class bei na aina ya huduma hazifanani.kuna mademu wamenyooka aisee,ukiambiwa anajiuza huamini .demu wa 2000tsh huko vibanda umiza hawezi fanana na wa 200$.mtoto wa kibrazil kanyooka hana kovu wala alama,unaanza kujiuliza huyu mwanamke kakosa nini mpaka kuamua kufanya hii biasharasokota bao moja tshs 2000
Unajuwa, kama unalanguliwa, LAKINI HUJUI KAMA UNALANGULIWA... hainaga kwereee.... ISHU UKIJUA BANA...Mkuu ongeza mchanganuo wa bei elekezi kwa mikoa mengine kama Dar,Arusha na kwengineko.itawasaidia mabazazi wenzio wasilanguliwe
Ni ile nyuma ya stand? Uwa kuna kama live band au show za mziki!Zamani nilikua napenda sana kwenda kunywa hapo kilimanjaro hotel kipindi ndio mpya mpya hivi, ila baada ya ukahaba kushamiri pakawa pa hovyo kuliko maelezo aisee.
Hapo hapo mkuu,karibu na stand ya mabus Nyegezi pale.Ni ile nyuma ya stand? Uwa kuna kama live band au show za mziki!
Ok, niliwahi kuzuka pale ila kilikuwa kipindi cha ramadhan hakukuwa na mishemishe sana, ngoja nikizuru Rocky city lazima nikaoshe machoHapo hapo mkuu,karibu na stand ya mabus Nyegezi pale.
Pashakua uswahilini pale,watoto wa uswahilini huko nyegezi+mkolani+buhongwa wamejaa.Watakuharibia siku tu.Ok, niliwahi kuzuka pale ila kilikuwa kipindi cha ramadhan hakukuwa na mishemishe sana, ngoja nikizuru Rocky city lazima nikaoshe macho
Hahahahahahhahaaaaanasikia wanaume mkiona wa hivi "mnauza match" kuuza match means, kwenda kavu kavu bila kinga