Biashara ya kujiuza inavyowalipa wadada!

Biashara ya kujiuza inavyowalipa wadada!

[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mkuu umedanganya hiyo bei
Yani kwa usawa huu ukalale na kahaba usiku mmoja kwa 100k
SI kweli tafadhali hebu rudi tena uwaulize mkuu.
Huyo mwanamke wakumhonga laki kwa usku mmoja anakuwa na nini cha ziada humo ndani ambacho sehemu nyingine halipatikani??
 
Hata humu wauzaji wamo...............? nauliza tu wakuu.........
 
mkuu hapo nyumbani park moro, kuna vitu kweli watoto wazuri balaa, nilienda kugusa full night nikaambiwa kwa huruma nitoe 80000, kubageini sana ndo nikapewa kwa 50 ila chuma chuma kweli hata hujuti, wengi pale wanatoka dar, chillers kahama hata 15000 unapata ila pale kwa vile kamji kadogo nirahisi kurudia yule yule ukeenda hata kesho yake, musoma kuna chimbo linaitwa Emmembers AKA ubalozini hapo dada poa 20000 hadi 10000, ya kulala kabisa,Mwanza kuna chibo kilimanjaro hotel[nyegezi[ hapo nako ni 10000 up to 20000,bunda kuna NATTA bar hapo 10000 hadi kumi na tano.IKIMWI UPO CHEZA SALAMA.
Zamani nilikua napenda sana kwenda kunywa hapo kilimanjaro hotel kipindi ndio mpya mpya hivi, ila baada ya ukahaba kushamiri pakawa pa hovyo kuliko maelezo aisee.
 
Mkuu ongeza mchanganuo wa bei elekezi kwa mikoa mengine kama Dar,Arusha na kwengineko.itawasaidia mabazazi wenzio wasilanguliwe
 
Hao waliotajwa na wa mizinga wote sawa tu... WAUZAJI...

Tofauti yao mwingine unalipa kwa kukubaliana kabla, na mwingine unamlipa kupitia vizinga na hamkubaliani kabla
Hahah kuna wakulipa upfront cash na hawa wakulipa kwa installment,kila siku unaletewa invoice mpya
 
Kuwa makini mkuu
nasikia wanaume mkiona wa hivi "mnauza match" kuuza match means, kwenda kavu kavu bila kinga
428990.jpg
 
sokota bao moja tshs 2000
Mkuu vitz na porsche 911 zote ni gari na zinaweza kukufikisha from point A to B lakini moja unapata kwa m7 na hyo nyengine m400+ ).hata kwenye Uuzaji mwili kuna viwango.kuna low class na high class bei na aina ya huduma hazifanani.kuna mademu wamenyooka aisee,ukiambiwa anajiuza huamini .demu wa 2000tsh huko vibanda umiza hawezi fanana na wa 200$.mtoto wa kibrazil kanyooka hana kovu wala alama,unaanza kujiuliza huyu mwanamke kakosa nini mpaka kuamua kufanya hii biashara
 
Mkuu ongeza mchanganuo wa bei elekezi kwa mikoa mengine kama Dar,Arusha na kwengineko.itawasaidia mabazazi wenzio wasilanguliwe
Unajuwa, kama unalanguliwa, LAKINI HUJUI KAMA UNALANGULIWA... hainaga kwereee.... ISHU UKIJUA BANA...

infomesheni izi pawa
 
Zamani nilikua napenda sana kwenda kunywa hapo kilimanjaro hotel kipindi ndio mpya mpya hivi, ila baada ya ukahaba kushamiri pakawa pa hovyo kuliko maelezo aisee.
Ni ile nyuma ya stand? Uwa kuna kama live band au show za mziki!
 
Hapo hapo mkuu,karibu na stand ya mabus Nyegezi pale.
Ok, niliwahi kuzuka pale ila kilikuwa kipindi cha ramadhan hakukuwa na mishemishe sana, ngoja nikizuru Rocky city lazima nikaoshe macho
 
Ok, niliwahi kuzuka pale ila kilikuwa kipindi cha ramadhan hakukuwa na mishemishe sana, ngoja nikizuru Rocky city lazima nikaoshe macho
Pashakua uswahilini pale,watoto wa uswahilini huko nyegezi+mkolani+buhongwa wamejaa.Watakuharibia siku tu.

By the way mi napenda kunywa na mziki(club+live band) basi lkn sina interest na kununua machangu kabisaa.

Enjoy.
 
Biashara hii hata ukiuziwa buku 2 kwa lisaa, bado unaibiwa tu... Hupewi huduma zinazohitajika, ni sawa na umelikuta pango la mti ukaenda kukojolea pale, yaani ukifika tu, yeye yuko fasta anakufunulia ukojolee, sepa!... Hahaha, hapana aisee!...
 
Mkuu utakuwa umekurupuka tu na huo utafiti wako ngoja nikujuze usio yafahamu maana naona umekurupuka tu kuwaaminisha watu hiyo biashara inafanyika kwa ughali kiasi hicho chifu.

Hiyo malaika Club ipo hapo Dodoma area D hapo wadada waliopo kwanza hutaweza jua kama wapo mzigoni na wengi wao ni wale wenye kazi nzuri mjini hapo ila ukitaka kuchetuliwa(showtime) watakupa kwa elfu 10 tu kulala ni 50-70 na hiyo ni kama umejipendekeza kutaka Mapem namäanisha saa moja had saa tano ila ukimpitia saa tano na nusu utapewa kwa 20-30

DMC Pub hii iko maeneo ya uhindini mkabala na ofisi za wizara ya ujenzi hapo wanakupa Show ya fasta au maarufu kuchetua kwa elfu tano tu ukitaka kulala bei ni kama ya huko mwanzo ila itabadilika kulingana na muda ulivyo,ila Malaya wa hapa wakorofi sana na wanashirikiana na bodaboda kuwakwida wateja,kubwa zaidi hata polisi wa Dodoma huwa wanakuja kupiga Show hapa au huchukua hongo elfu 30 kwa kila Malaya watakae mkuta siku hiyo kisha biashara inaendelea hadi ahsubuh

Kuna hiki kigest kidogo kinaitwa Keko kipo uhindini,mbele kidogo ya ofisi za TRA malaya was hapa bei yake ni sawa tu na hao wengine tofauti yao wao ni watiifu,wapole na ni wazuri kwelikweli,

Mwanza
Bei za wadada wanaopatikana huko mfano hapo Ndama hoteli unangoa Saa tano kwa elf 20 tu hadi ahsubuh na wengi ni wahudumu wa Hotel hiyo,kuna hapo D8 bar bei sawa na hiyo,shaatemba Club vivyohivyo,

Dar ndo bei rahisi had elfu 3 ila huku wao wanaongoza kwa kutoa tigo sasa hapo ndo inapokuja hiyo bei ya laki moja,elfu sabini mwisho unakula vitu miksa hadi moniii,

Ni moja kati ya tafiti zangu juu kuhusu jambo hilo hapa nchini na vyombo vya usalama vinajitahidi Vipi kuzuia hilo jambo na athar zake Kwa jamii

Nawasilisha hicho kidogo kati ya mengi yaliokwenye makala zangu
 
Back
Top Bottom