Chum Chakavu
Member
- Oct 19, 2018
- 18
- 22
Habari wana JamiiForums,
Kwa mud wa miezi karibu mitatu sasa nimekua nikiumiza kichwa kuhusu kufanya biashara. Nimefikiria biashara nyingi sana katika kipindi chote hicho ila biashara pekee ambayo imekuja kutawala sana kichwa changu ni biashara ya Chakula.
Jana usiku majira ya saa tisa hivi nilishtuka usinginzi na fikra zikaendelea ila kuna kipindi kuna wazo lilinijia ambalo ni kufungua banda la kukaanga mihogo ambayo nitaiboresha na kuiuza katima mtindo wa chipsi.
Ila hii ntaiboresha zaidi kwa kufungua kama restaurant ambayo itakua ni special kwa kuuza juice za matunda tofauti na mihogo ya kukaanga ambayo nitaikaanga katika ladha tofauti kama vile vannila, garlic, na ladha ya kawaida pamoja na mishkaki na kuku wa kuchoma maarufu kama sekela. Naombeni kuwasilisha wazo langu.
Kwa yeyote mwenye ushauri swali au jambo lolote litakalosaidia kuboresha wazo langu anakaribishwa.
Asanteni sana
Kwa mud wa miezi karibu mitatu sasa nimekua nikiumiza kichwa kuhusu kufanya biashara. Nimefikiria biashara nyingi sana katika kipindi chote hicho ila biashara pekee ambayo imekuja kutawala sana kichwa changu ni biashara ya Chakula.
Jana usiku majira ya saa tisa hivi nilishtuka usinginzi na fikra zikaendelea ila kuna kipindi kuna wazo lilinijia ambalo ni kufungua banda la kukaanga mihogo ambayo nitaiboresha na kuiuza katima mtindo wa chipsi.
Ila hii ntaiboresha zaidi kwa kufungua kama restaurant ambayo itakua ni special kwa kuuza juice za matunda tofauti na mihogo ya kukaanga ambayo nitaikaanga katika ladha tofauti kama vile vannila, garlic, na ladha ya kawaida pamoja na mishkaki na kuku wa kuchoma maarufu kama sekela. Naombeni kuwasilisha wazo langu.
Kwa yeyote mwenye ushauri swali au jambo lolote litakalosaidia kuboresha wazo langu anakaribishwa.
Asanteni sana