Biashara ya kukaanga mihogo

Biashara ya kukaanga mihogo

Akuna kitu unapenda mkuu hizo theory tu fanya cheku kukutoa kwa muda huwo hivyo boashara yoyote unafungua kwaajiri inalipa na itakutoa na nisawa kwamba unaipenda.

Mimi kichwani nina malengo ya kufanya biashara kibao inamaana kati ya hizo yepi naypipenda
1)Restaurant
2)Uwakala
3)Juice bar
4)Car wash
6)Kilimo
7)Ufugaji
8)Duka la nguo nk

kwahiyo hapo napenda kipi minangalia chochote kitachonitoa, kwahiyo unaamini wanaofanya kazi ya kupakuwa mavi wanapenda, nina mtaji wa 700K itanilimiti kufungua biashara ya pesa hiyo kama kiduka cha CD, nina 6M nitataka Carwash au Restairant nk, nina 1Billion nitafanya Real Estate nk kwahivyo mtaji utakupangia na watu wanaangalia faida mzee, sikweli kwamba muuza duka la rejareja anapenda kuwa kama mfungwa saa 12 asubui hadi 5 usiku ila pesa ndio influencial factor mkuu.
We jamaa una idea nyingi,vipi saiv unafanya ipi?
 
Back
Top Bottom