Biashara ya kukodisha magari

Biashara ya kukodisha magari

Mtoto Tajiri

JF-Expert Member
Joined
Sep 29, 2014
Posts
300
Reaction score
173
Wakuu nimejaribu kupitia mada mbalimbali kuhusu biashara hii ya kukodisha magari hapa jamii forum lkn hakuna mada hata moja yenye ushauri uliojitosheleza,Kitu nachotaka kujua zaidi kwa wale wazoefu wa biashara hii je ni DHAMANA gani mteja anatakiwa aiache ili umpe gari kama garantia!!?
 
Mkuu sijawahi kukodi gari , lakini ningekuwa wewe ningekwenda kwa wanaokodisha magari nakufanya nataka kukodi ili ujue document gani wanataka na dhamana ipi wana taka
 
Hii biashara inasumbua sana kama mtaji wako mdogo na siyo mtoto wa mjini itakuumiza, kwa yafuatayo

-wengine hawajui kuendesha vizuri unaweza rudishiwa gari likiwa halitamaniki
Wateja wengine ni experienced criminals hilo gari atalikodi halafu atasepa nalo kulichinja na kuuza spare ilala

Utapoteza muda mwingi polisi kufuatilia ajali na matapeli na fahamu kwamba matapeli wengi wanafahamika sana polisi , utaishia kupigwa kalenda.

Ukibahatika kukodisha kwenye taasisi itakulipa ingawa ni zali kupata

From my experience
 
Hii biashara inasumbua sana kama mtaji wako mdogo na siyo mtoto wa mjini itakuumiza, kwa yafuatayo

-wengine hawajui kuendesha vizuri unaweza rudishiwa gari likiwa halitamaniki
Wateja wengine ni experienced criminals hilo gari atalikodi halafu atasepa nalo kulichinja na kuuza spare ilala

Utapoteza muda mwingi polisi kufuatilia ajali na matapeli na fahamu kwamba matapeli wengi wanafahamika sana polisi , utaishia kupigwa kalenda.

Ukibahatika kukodisha kwenye taasisi itakulipa ingawa ni zali kupata

From my experience

Shukrani kwa mchango wako!
 
mkuu mi nafanya ozo ishu ingawa ndo naanza nna gari chache tu hii ni biashara nzuro sema inataka umakini zaidi pale unapotoa gari kwa mtu kutegemeana na maitaji yake na kwa muda gani na kwa matumizi gani, Mfano wanakuja watu wa.mda mfupi siku 2 au wiki humjui hujui anakazo nalo gani mara nyingi sharti dereva awe wangu kama hataki simpi gari wengi washalizwa magari kwa staili kama hizi au kujikuta wanaingia katika mabalaa wasiyotarajia jamaa yangu aliwaigi yoa noah wale jamaa walienda beba wasomali mwisho wa siku walikamatwa wakakimbia msala ukabaki kwa mwenye gari.
ni nzuri sana kama ukipata tenda ya kubrba stuff labda au kuna makampuni yanaitaji magari ya kukodisha ambayo huingia mkataba mrefu miezi 3 kiasi kwamba unawezaenda chukuaa magari kwa watu so ni kua makini sana tafta tenda hasa ndo hazina presha
 
mkuu mi nafanya ozo ishu ingawa ndo naanza nna gari chache tu hii ni biashara nzuro sema inataka umakini zaidi pale unapotoa gari kwa mtu kutegemeana na maitaji yake na kwa muda gani na kwa matumizi gani, Mfano wanakuja watu wa.mda mfupi siku 2 au wiki humjui hujui anakazo nalo gani mara nyingi sharti dereva awe wangu kama hataki simpi gari wengi washalizwa magari kwa staili kama hizi au kujikuta wanaingia katika mabalaa wasiyotarajia jamaa yangu aliwaigi yoa noah wale jamaa walienda beba wasomali mwisho wa siku walikamatwa wakakimbia msala ukabaki kwa mwenye gari.
ni nzuri sana kama ukipata tenda ya kubrba stuff labda au kuna makampuni yanaitaji magari ya kukodisha ambayo huingia mkataba mrefu miezi 3 kiasi kwamba unawezaenda chukuaa magari kwa watu so ni kua makini sana tafta tenda hasa ndo hazina presha

Shukrani mkuu!
 
Back
Top Bottom