Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
asante kwa taarifa hio, apart from that hio mitambo mingine vipi?
Asante sana sanaFolk Lifts
Inaitajika kwa sehemu kubwa sana hasa kwenye yard ambazo agents wa bandari wanatumia wakati wa kupakia contena uwa zinapatikana kwa shida na ni gharama pia wakati unaingiza mashine iyo itakupa unafuu wa kodi aina mambo mengi
Asante sana ni wazo jipya na zuri sanaLete mtambo wa ku recycle maplastiki
Una hela sana wewe? Umepata wapi hayo mabilioni ya kununua hayo ma grader hadi uje huku kuomba ushauri kwa makapuku?Wajasiriamali Wenzangu
Naomba msaada wenu, nahitaji kuanza biashara ya kukodisha Mitambo yaani niwe na mitambo yangu niwakodishe watu. Lengo la kuweka uzi huu hapa kwenu nikuomba ushauri wa mitambo ipi hasa mngenishauri ndugu yenu niweze kuifanyia kazi, kwa mfano kuna mitambo kama hii
Nisaidieni Mawazo. je biashara hii italipa? Je ni mitambo ipi naweza kuitumia??
- Mitambo ya kuchimbia Visima
- Mitambo ya Kukorogea Zege
- Folk Lifts
- Matrekta
- Kijiko
- Grader
- N.k
Asante sana ni wazo jipya na zuri sana
Watoto wa insta mnashida kwenye vichwa vyenu eeh!!!!Una hela sana wewe? Umepata wapi hayo mabilioni ya kununua hayo ma grader hadi uje huku kuomba ushauri kwa makapuku?
Sent from iphone 7 plus
Umemjibu vyema sana sana , MUNGU akubariki. Kizazi chetu kinapotea kwa kukosa maarifaWatoto wa insta mnashida kwenye vichwa vyenu eeh!!!!
Duh, haya asante sana Mkuu nimekuelewa. AsanteUna hela sana wewe? Umepata wapi hayo mabilioni ya kununua hayo ma grader hadi uje huku kuomba ushauri kwa makapuku?
Sent from iphone 7 plus
Una hela sana wewe? Umepata wapi hayo mabilioni ya kununua hayo ma grader hadi uje huku kuomba ushauri kwa makapuku?
Sent from iphone 7 plus
heavy equipments (grader,loader,excavator) inalipa sana. lakini jitahidi uwe na machine nzima kidogo na kwa kushauri kama una mtaji mzuri anza kwa kuwa na Motor Grader au Excavator. kama uko vizuri pia jaribu kufikiria kuwa na Cusher la kokote nayo ni biashara nzuri pia...Kilimo cha kisasa, kwa maana ya kutotegemea mvua bali uwekezaji mkubwa na ikiwezekana mazao ya chakula kama mahindi na mpunga then unakuwa na godown lako unastock. Idea nyingine mkuu ni uvuvi wa samaki baharini kama unaweza kumiliki boti kubwa ya uvuvi (troller), ukawa na refrigerated carrier na cold room sehemu fulani... Binafsi nakosa mtaji mkubwa nashindwa kufanya chochote hapo lakini nina uhakika hutojuta..
Good business ila changamoto yake kubwa ni malipo, ukianza usije kuthubutu kukodisha kwa "mali kauli" mtu akulipe ndio achukue mitambo. Local contractors wengi ni matapeli wa kukodi mitambo na pia sio watunzaji wazuri wa mitambo, sometime wako locally sana, unakuta anaanza project bila contract baadae anakosa malipo ya hiyo kazi au GoT inamcheleweshea malipo kwa muda mrefu.Wajasiriamali Wenzangu
Naomba msaada wenu, nahitaji kuanza biashara ya kukodisha Mitambo yaani niwe na mitambo yangu niwakodishe watu. Lengo la kuweka uzi huu hapa kwenu nikuomba ushauri wa mitambo ipi hasa mngenishauri ndugu yenu niweze kuifanyia kazi, kwa mfano kuna mitambo kama hii
Nisaidieni Mawazo. je biashara hii italipa? Je ni mitambo ipi naweza kuitumia??
- Mitambo ya kuchimbia Visima
- Mitambo ya Kukorogea Zege
- Folk Lifts
- Matrekta
- Kijiko
- Grader
- N.k
Grader n.k zinalipa sanaa mkuu hasa ukipata mgodini naonaga watu wanaopata tenda mgodini wananzaa may be na Dozer tu afu baada ya mwaka yuko vizuri na anaongeza mshine zingine maradufu.Wajasiriamali Wenzangu
Naomba msaada wenu, nahitaji kuanza biashara ya kukodisha Mitambo yaani niwe na mitambo yangu niwakodishe watu. Lengo la kuweka uzi huu hapa kwenu nikuomba ushauri wa mitambo ipi hasa mngenishauri ndugu yenu niweze kuifanyia kazi, kwa mfano kuna mitambo kama hii
Nisaidieni Mawazo. je biashara hii italipa? Je ni mitambo ipi naweza kuitumia??
- Mitambo ya kuchimbia Visima
- Mitambo ya Kukorogea Zege
- Folk Lifts
- Matrekta
- Kijiko
- Grader
- N.k