antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 47,274
- 126,778
Wazo zuri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Njoo pm mzeeWajasiriamali Wenzangu
Naomba msaada wenu, nahitaji kuanza biashara ya kukodisha Mitambo yaani niwe na mitambo yangu niwakodishe watu. Lengo la kuweka uzi huu hapa kwenu nikuomba ushauri wa mitambo ipi hasa mngenishauri ndugu yenu niweze kuifanyia kazi, kwa mfano kuna mitambo kama hii
Nisaidieni Mawazo. je biashara hii italipa? Je ni mitambo ipi naweza kuitumia??
- Mitambo ya kuchimbia Visima
- Mitambo ya Kukorogea Zege
- Folk Lifts
- Matrekta
- Kijiko
- Grader
- N.k
Acha hivo huku hakuna makapuku .makapuku wote wapo MAKAPUKU FORUM ndo mana ilianzishwa kama we upo huku alafu ni kapuku unapoteza muda wako bure wai Makapuku forum kwenye mipasho na vijembe vya kila aina huku ni biashara tuuUna hela sana wewe? Umepata wapi hayo mabilioni ya kununua hayo ma grader hadi uje huku kuomba ushauri kwa makapuku?
Sent from iphone 7 plus
Asante Sana Kwa ushauri mzuriKwanini usianze na malori ya kubeba kokoto au mchanga?
Kukodi mitambo hadi uwe na chanel inayoeleweka.
Japo kuna hela nzuri sana.
Fungua kampuni ya kukodisha mitambo km vile crane za ukubwa tofauti pamoja na folk lifts, inalipa vizur na kwa vijijini kukodisha matrekta inalipa pia ila hiyo ni biashara ya msimuWajasiriamali Wenzangu
Naomba msaada wenu, nahitaji kuanza biashara ya kukodisha Mitambo yaani niwe na mitambo yangu niwakodishe watu. Lengo la kuweka uzi huu hapa kwenu nikuomba ushauri wa mitambo ipi hasa mngenishauri ndugu yenu niweze kuifanyia kazi, kwa mfano kuna mitambo kama hii
Nisaidieni Mawazo. je biashara hii italipa? Je ni mitambo ipi naweza kuitumia??
- Mitambo ya kuchimbia Visima
- Mitambo ya Kukorogea Zege
- Folk Lifts
- Matrekta
- Kijiko
- Grader
- N.k
Duhh [emoji15] [emoji15] Kwahiyo kwa masaa 12 ni Milioni 12, acha kuzungumza usiyo yajua. Ingekuwa hivyo kila mfanyabiashara mkubwa angefanya hiyo biashara kwasababu motor grader second hand zipo hapo mantrac ni reconditioned zipo kama mpya. Hiyo bei uliyotaja ni ya siku kwa saa 8.Grader
hii sio mbaya inalipa pia ila hapa inabidi ujipendekeze sana na watu wa harimashauri ili upate kazi za kukwangua barabara za mitaani uku inalipa maana kukodi grader kwa saa ni kama milioni ivi
SIKU LAZIMISHI KUAMINI BAKI NA UBISHI WAKODuhh [emoji15] [emoji15] Kwahiyo kwa masaa 12 ni Milioni 12, acha kuzungumza usiyo yajua. Ingekuwa hivyo kila mfanyabiashara mkubwa angefanya hiyo biashara kwasababu motor grader second hand zipo hapo mantrac ni reconditioned zipo kama mpya. Hiyo bei uliyotaja ni ya siku kwa saa 8.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wajasiriamali Wenzangu
Naomba msaada wenu, nahitaji kuanza biashara ya kukodisha Mitambo yaani niwe na mitambo yangu niwakodishe watu. Lengo la kuweka uzi huu hapa kwenu nikuomba ushauri wa mitambo ipi hasa mngenishauri ndugu yenu niweze kuifanyia kazi, kwa mfano kuna mitambo kama hii
Am the civil engineer,kama una mitambo tuabzishe kampuni.pays more
- Mitambo ya kuchimbia Visima
- Mitambo ya Kukorogea Zege
- Folk Lifts
- Matrekta
- Kijiko
- Grader
- N.k
Kweli mwenda wazimu yaani bila aibu unaongea kitu usicho kijua tena kwa kubisha!!...Ipo hivi hakuna Motor Grader,Excavator wala set ya mtambo wa barabara unao kodishwa kwa saa milioni moja.SIKU LAZIMISHI KUAMINI BAKI NA UBISHI WAKO
Nakuunga Mkono Mkuu samurai hizo Heavy Equipment zinalipa. Uwe na Grader, Excavator ( za Chain pamoja na za Tairi), Trucks za kubebea hiyo Mitambo na Tippers. Hakika utatoka tu!heavy equipments (grader,loader,excavator) inalipa sana. lakini jitahidi uwe na machine nzima kidogo na kwa kushauri kama una mtaji mzuri anza kwa kuwa na Motor Grader au Excavator. kama uko vizuri pia jaribu kufikiria kuwa na Cusher la kokote nayo ni biashara nzuri pia...Kilimo cha kisasa, kwa maana ya kutotegemea mvua bali uwekezaji mkubwa na ikiwezekana mazao ya chakula kama mahindi na mpunga then unakuwa na godown lako unastock. Idea nyingine mkuu ni uvuvi wa samaki baharini kama unaweza kumiliki boti kubwa ya uvuvi (troller), ukawa na refrigerated carrier na cold room sehemu fulani... Binafsi nakosa mtaji mkubwa nashindwa kufanya chochote hapo lakini nina uhakika hutojuta..
Unajua sikuelewi tunabishana nini me na wewe,biashara kila mtu anaifanya anavyo jua mimi nimekwambia ninacho jua nilicho wahi kufanya unalazimishi kiwe uongo una akili kweli ungekuwa una busara ungeniuliza wapi inafanyika sio kubishana,kwani ukiwa uswahilini unanunua karanga pakiti mia lakini kwanini sehemu zingine unanua mpaka mia 5 na kipimo ni kile kile,tumia akili na ukitaka kujifunza usibishane uliza,na usikariri biasharaKweli mwenda wazimu yaani bila aibu unaongea kitu usicho kijua tena kwa kubisha!!...Ipo hivi hakuna Motor Grader,Excavator wala set ya mtambo wa barabara unao kodishwa kwa saa milioni moja.
Motor Grader kiwango cha juu kabisa ni 1.2mil VAT inclusive per day (8hrs) na mitambo mingine ni hivyo hivyo na huwa inashuka mpaka laki 7 kwa Dar (8hrs) kukodi Grader na Excavator.
Jamani kwa tusicho kijua tukubali kuwa wasikilizaji sio kudanganya uma eti kukodi Grader kwa saa milioni 1!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata mimi najua hivi ulibosema. Motograder n.k inakodishwa laki nane kwa siku VAT Inclusive. Huyu anayesema M12 kwa siku sijui kapata wapiKweli mwenda wazimu yaani bila aibu unaongea kitu usicho kijua tena kwa kubisha!!...Ipo hivi hakuna Motor Grader,Excavator wala set ya mtambo wa barabara unao kodishwa kwa saa milioni moja.
Motor Grader kiwango cha juu kabisa ni 1.2mil VAT inclusive per day (8hrs) na mitambo mingine ni hivyo hivyo na huwa inashuka mpaka laki 7 kwa Dar (8hrs) kukodi Grader na Excavator.
Jamani kwa tusicho kijua tukubali kuwa wasikilizaji sio kudanganya uma eti kukodi Grader kwa saa milioni 1!!
Sent using Jamii Forums mobile app