yang jidon
Member
- Oct 27, 2018
- 31
- 19
Asante kwa ushauri wako nitaufanyia kaziTafuta soko kwanza na liwe la uhakika ili watoke kwa haraka na mtaji ukue
Tafuta soko la kuku uuze kwa kuku mmoja 18K na zaidi. Ukifanikiwa hivyo huna haja ya kwenda shambani kuna watu wanaoleta kuku unaweza nunua kwa 15k jumla hapa hapa Dar es Salaam. Ukuze mtaji kiasiasante kwa ushauri wako nitaufanyia kazi
Oya toa hilo li automatic suggestion na prediction kwenye keyboard linakera bana 😠 hivi mtu unatumiaje simu ikiwa hivyo!Nilifanya shughuli hiyo wkt nipo moro ila mm mwenyewe niliacha kwa sababu eaten a wangu alikuwa wanavaa na pesa ya maji muda mrefu hivi kupelekea kwanza kutumia kimtaji kwani mm nilijua nina wateja maalum nawapelekea sio haya wa rejareja ila ni biashara inayolipa sana kama utawekeza nguvu zako zote nadhani muda mfupi tuu mbele utaanza kutumwagia maji barabarani sisi watembea kwa miguu na gari yako so nilipumzika nkaja dar kuanza channel mpya ya maisha kwa kazi nyingine ila nitairejea hiyo biashara hapo mbeleni kwa sasa maswala ya kifamilia yamenibana na si unajua nipo mkoa mpya kwangu inabidi nijipange upya ila hiyo biashara inalipa tena upate mteja anayelipa keshi hata kwa kila kuku mmoja update taifa ya 3000 ni nyingi sana kama mzigo inaisha kwa wakati.Mimi mzigo nilikuwa nachukua dunia pale njia panda ya kwenda dodoma na kilosa jirani kitu cha forodha tra hapo kila siku asubuhi wakulima wanaleta kuku ila nakupa angalizo usije kununua kuku kwa dalali watakupiga bei ukimona mkulima anakupa na tena lake kufanya kumgombania kama mpira wa kina ww pamoja na madalali lkn ukiwa legelege ukiwaacha dallah wanunue ndo wakuuzie hutoona taifa na sehemu nyingine ni gairo hapo nnayo hadi namba ya mtu aliyekuwa ananiletea mzigo na mnakubaliana kwa bei nzuri tuu mnafanya biashara.NB. usije kunua kwa madalali ni walanguzi na watakuumiza
UnalitoaajeOya toa hilo li automatic suggestion na prediction kwenye keyboard linakera bana 😠 hivi mtu unatumiaje simu ikiwa hivyo!
Rudia kusoma ulichoandika tena.
Go to settings>language & input>turn off kila unachokiona humo ndani!Unalitoaaje
ni wapi wanauza kwa bei za jumlaTafuta soko la kuku uuze kwa kuku mmoja 18K na zaidi. Ukifanikiwa hivyo huna haja ya kwenda shambani kuna watu wanaoleta kuku unaweza nunua kwa 15k jumla hapa hapa Dar es Salaam. Ukuze mtaji kiasi
ulianza na mtaji wa kiasi gan mkuu na vipi kuhusu usafirishaji kutoka huko ili nisiingie Grahama sanaNilifanya shughuli hiyo wkt nipo moro ila mm mwenyewe niliacha kwa sababu eaten a wangu alikuwa wanavaa na pesa ya maji muda mrefu hivi kupelekea kwanza kutumia kimtaji kwani mm nilijua nina wateja maalum nawapelekea sio haya wa rejareja ila ni biashara inayolipa sana kama utawekeza nguvu zako zote nadhani muda mfupi tuu mbele utaanza kutumwagia maji barabarani sisi watembea kwa miguu na gari yako
So nilipumzika nkaja Dar kuanza channel mpya ya maisha kwa kazi nyingine ila nitairejea hiyo biashara hapo mbeleni kwa sasa maswala ya kifamilia yamenibana na si unajua nipo mkoa mpya kwangu inabidi nijipange upya ila hiyo biashara inalipa tena upate mteja anayelipa keshi hata kwa kila kuku mmoja update taifa ya 3000 ni nyingi sana kama mzigo inaisha kwa wakati.
Mimi mzigo nilikuwa nachukua dunia pale njia panda ya kwenda dodoma na kilosa jirani kitu cha forodha tra hapo kila siku asubuhi wakulima wanaleta kuku ila nakupa angalizo usije kununua kuku kwa dalali watakupiga bei ukimona mkulima anakupa na tena lake kufanya kumgombania kama mpira wa kina ww pamoja na madalali lkn ukiwa legelege ukiwaacha dallah wanunue ndo wakuuzie hutoona taifa na sehemu nyingine ni gairo hapo nnayo hadi namba ya mtu aliyekuwa ananiletea mzigo na mnakubaliana kwa bei nzuri tuu mnafanya biashara.NB. usije kunua kwa madalali ni walanguzi na watakuumiza
Laki 3 maana kule wanauza kwa bei ya jumla 7000 hadi 8000 usafiri ktk lori kutoka dumila/gairo hadi moro ni 10000 so ukiuza hata kwa 12000 hadi 15000 bado faida unayoulianza na mtaji wa kiasi gan mkuu na vipi kuhusu usafirishaji kutoka huko ili nisiingie Grahama sana
hizo bei ni za wakulima wenyew au madalali wa hapoLaki 3 maana kule wanauza kwa bei ya jumla 7000 hadi 8000 usafiri ktk lori kutoka dumila/gairo hadi moro ni 10000 so ukiuza hata kwa 12000 hadi 15000 bado faida unayo
aha nmekupata mkuu tutawasiliana zaid asnt sanaWakulima kutoka ktk tenga ila wanachanganyika wakubwa na wadogo ila bado faida ipo
Pa1aha nmekupata mkuu tutawasiliana zaid asnt sana
Boss nakuomba namba dm ili unipe ushauri zaidi, plzNilifanya shughuli hiyo wkt nipo moro ila mm mwenyewe niliacha kwa sababu eaten a wangu alikuwa wanavaa na pesa ya maji muda mrefu hivi kupelekea kwanza kutumia kimtaji kwani mm nilijua nina wateja maalum nawapelekea sio haya wa rejareja ila ni biashara inayolipa sana kama utawekeza nguvu zako zote nadhani muda mfupi tuu mbele utaanza kutumwagia maji barabarani sisi watembea kwa miguu na gari yako
So nilipumzika nkaja Dar kuanza channel mpya ya maisha kwa kazi nyingine ila nitairejea hiyo biashara hapo mbeleni kwa sasa maswala ya kifamilia yamenibana na si unajua nipo mkoa mpya kwangu inabidi nijipange upya ila hiyo biashara inalipa tena upate mteja anayelipa keshi hata kwa kila kuku mmoja update taifa ya 3000 ni nyingi sana kama mzigo inaisha kwa wakati.
Mimi mzigo nilikuwa nachukua dunia pale njia panda ya kwenda dodoma na kilosa jirani kitu cha forodha tra hapo kila siku asubuhi wakulima wanaleta kuku ila nakupa angalizo usije kununua kuku kwa dalali watakupiga bei ukimona mkulima anakupa na tena lake kufanya kumgombania kama mpira wa kina ww pamoja na madalali lkn ukiwa legelege ukiwaacha dallah wanunue ndo wakuuzie hutoona taifa na sehemu nyingine ni gairo hapo nnayo hadi namba ya mtu aliyekuwa ananiletea mzigo na mnakubaliana kwa bei nzuri tuu mnafanya biashara.NB. usije kunua kwa madalali ni walanguzi na watakuumiza