Biashara ya kuku wa mayai na nyama

Biashara ya kuku wa mayai na nyama

Mkuu hii hesabu yako akiitumia kwa kuku wa mayai atapotea.

Kuku wakubwa wanatakiwa wawe kati ya 6 hadi 8 kwenye mita moja ya mraba. Hivyo kuku 1000 wakubwa watahitaji mita za mraba 125 hadi 166 yaani 10x12.5 hadi 10x16.6
Hii ni kwa broilers
 
Anza hivii
Nunua kuku chotara 100 wanafaa kwa nyama na mayai.

Mbele ya Safari wakifikisha miezi mitatu uza 45 Kama kuku wa nyama, bakiza mitetea 50 na majogoo 5 wakifikisha miezi minne mpaka mitano wakianza kutaga Anza kufanya biashara ya mayai.

Hapo Sasa utachagua moja Kati ya kuuza mayai au kuuza nyama kutokana na tathmin ya faida.
 
Anza hivii
Nunua kuku chotara 100 wanafaa kwa nyama na mayai.

Mbele ya Safari wakifikisha miezi mitatu uza 45 Kama kuku wa nyama, bakiza mitetea 50 na majogoo 5 wakifikisha miezi minne mpaka mitano wakianza kutaga Anza kufanya biashara ya mayai.

Hapo Sasa utachagua moja Kati ya kuuza mayai au kuuza nyama kutokana na tathmin ya faida.
Asante mkuu nitalifanyia kaz..
 
Mwenye uelewa na kuku wa nyama wa siku 21 naomba anipe hints vzur.. Jinsi wanavyofugwa.
 
Mwenye uelewa na kuku wa nyama wa siku 21 naomba anipe hints vzur.. Jinsi wanavyofugwa.
Hao unanunua vifaranga Bei yake ni 1800 mpaka 2300 inategemea unapochukulia.

Hao ukinunua lazima uwape chakula Cha fulani mwanzo mwisho. Wanakua usiku na mchana. Baada ya wiki 6 unaanza kuuza sio siku 21
 
Hao unanunua vifaranga Bei yake ni 1800 mpaka 2300 inategemea unapochukulia.

Hao ukinunua lazima uwape chakula Cha fulani mwanzo mwisho. Wanakua usiku na mchana. Baada ya wiki 6 unaanza kuuza sio siku 21
Kuna mtu alinambia kuku wake anauza baad ya siku 21. Sasa cjui Kam n specie nyngne au chakula..
 
Anza hivii
Nunua kuku chotara 100 wanafaa kwa nyama na mayai.

Mbele ya Safari wakifikisha miezi mitatu uza 45 Kama kuku wa nyama, bakiza mitetea 50 na majogoo 5 wakifikisha miezi minne mpaka mitano wakianza kutaga Anza kufanya biashara ya mayai.

Hapo Sasa utachagua moja Kati ya kuuza mayai au kuuza nyama kutokana na tathmin ya faida.
ushauri mzuri lakini nashauri hao atakaotaka kuwauza kama wa nyama awalishe chakula tofauti na wale atakaowaacha kwa ajili ya kutaga...
yaani ni kwamba kuku chotara mfano sasso ukitaka wawe wa nyama huwa wanalishwa chakula kinachowanenepesha kwa haraka kiasi kwamba miezi 3 mpk 4, wanakuwa na uzito unaofaa sokoni, hiyo hali ya kunenepa sana huwa inafanya wasiweze kutaga vizuri hivyo kama umelenga wawe wa kutaga unaanza kuwalisha chakula special kwa ajili ya kutaga kuanzia wakiwa na wiki mbili...
 
Fanya vitu ivi kabla hujaamua kipi ufanye ama ushauri upi ufate;
1. Angalia eneo ulilopo kitu gani kina hitajika zaidi na kwa bei gani (analysis ya soko)
2. Anza na wa nyama kama utaona kuna demand na bei ni nzuri sokoni, utaweza kuwatoa ndani ya miezi miwili mpk minne, kutegemea na aina uliyopendezwa kuifuga... wapo wanaotoka mpk ndani ya wiki 4, ila sikushauri sana kuanza nao.
3. kama unaeneo kubwa la wazi unaweza fuga wa kienyeji... hawa wakipata open space unawalisha kidogo chakula kingine wanajitafutia... ila kuwafugia ndani wanachangamoto kidogo.
4. kwa issue ya wa mayai unaweza fuga chotara(sasso) ambapo utaanza kuwalisha chakula cha layers wakiwa na umri wa wiki 2, lakini fanya ivo kama eneo ulilopo mayai ya chotara yanauzwa kwa bei kubwa kama ya kienyeji... mfano niliko mimi trei ya mayai ya chotara 12,000 ila kama yanauzwa kama ya kisasa fuga layers pure kwa sababu idadi ya mayai yatakayotagwa na chotara ni tofauti na layers pure.
5. kama vyote vinademand sawa, tenga tu mabanda... fuga wote mean wa nyama unakuwa unawaleta na kuwatoa kila baada ya miezi 3 labda, ila wa mayai wanakuwepo na watataga mpk miaka 3 min.

Jitahidi sana ukianza kufuga kuandaa vizuri mazingira na kuwapa kuku wako chanjo muhimu, Magonjwa yanasababishia hasara wafugaji wengi mpk wengi wanakata tamaa.
 
Fanya vitu ivi kabla hujaamua kipi ufanye ama ushauri upi ufate;
1. Angalia eneo ulilopo kitu gani kina hitajika zaidi na kwa bei gani (analysis ya soko)
2. Anza na wa nyama kama utaona kuna demand na bei ni nzuri sokoni, utaweza kuwatoa ndani ya miezi miwili mpk minne, kutegemea na aina uliyopendezwa kuifuga... wapo wanaotoka mpk ndani ya wiki 4, ila sikushauri sana kuanza nao.
3. kama unaeneo kubwa la wazi unaweza fuga wa kienyeji... hawa wakipata open space unawalisha kidogo chakula kingine wanajitafutia... ila kuwafugia ndani wanachangamoto kidogo.
4. kwa issue ya wa mayai unaweza fuga chotara(sasso) ambapo utaanza kuwalisha chakula cha layers wakiwa na umri wa wiki 2, lakini fanya ivo kama eneo ulilopo mayai ya chotara yanauzwa kwa bei kubwa kama ya kienyeji... mfano niliko mimi trei ya mayai ya chotara 12,000 ila kama yanauzwa kama ya kisasa fuga layers pure kwa sababu idadi ya mayai yatakayotagwa na chotara ni tofauti na layers pure.
5. kama vyote vinademand sawa, tenga tu mabanda... fuga wote mean wa nyama unakuwa unawaleta na kuwatoa kila baada ya miezi 3 labda, ila wa mayai wanakuwepo na watataga mpk miaka 3 min.

Jitahidi sana ukianza kufuga kuandaa vizuri mazingira na kuwapa kuku wako chanjo muhimu, Magonjwa yanasababishia hasara wafugaji wengi mpk wengi wanakata tamaa.
Asante mkuu[emoji1666]
 
Kuna mtu alinambia kuku wake anauza baad ya siku 21. Sasa cjui Kam n specie nyngne au chakula..
Hao ni Kuku wa Nyama (broiler) ambao wao ili kuliwa kinachoangaliwa ni uzito wao na sio umri wao, Kwa huku kwetu wafugaji wanaanza kuwauza wakiwa na uzito wa 1kg ambayo hupatikana kati ya umri wa week 3-4, ila wenzetu huanza kuwala wakiwa na uzito wa kilo 2 ambazo hupatikana kati ya week 7-9

Sasa wafugaji wanafanya kila kinalowezekana ili kupunguza siku za kukaa nao maana kadri wanavyokaa ndio zaidi wanavokula, na zaidi wanavokula ndo zaidi wanavyoongeza gharama za uendeshaji, hizo siku 21 alizokuambia zinapatikana kwa ujanja na uzoefu wa wafugaji

Kwahiyo kuna trick nyingi wanafanya ili kupunguza gharama za uendeshaji na hasa gharama za chakula, ila Hakuna kuku wa siku 21 ispokuwa kuna Kuku wa Nyama, ambae Kwa kwetu anaweza kuliwa akiwa na week 4 au chini ya hapo na sometimes ata juu ya week 4 kama kutakuwa na changamoto za magonjwa na kupelekea kuku kudumaa na kutofikisha kilo 1 ndani ya week 4
 
Hao ni Kuku wa Nyama (broiler) ambao wao ili kuliwa kinachoangaliwa ni uzito wao na sio umri wao, Kwa huku kwetu wafugaji wanaanza kuwauza wakiwa na uzito wa 1kg ambayo hupatikana kati ya umri wa week 3-4, ila wenzetu huanza kuwala wakiwa na uzito wa kilo 2 ambazo hupatikana kati ya week 7-9

Sasa wafugaji wanafanya kila kinalowezekana ili kupunguza siku za kukaa nao maana kadri wanavyokaa ndio zaidi wanavokula, na zaidi wanavokula ndo zaidi wanavyoongeza gharama za uendeshaji, hizo siku 21 alizokuambia zinapatikana kwa ujanja na uzoefu wa wafugaji

Kwahiyo kuna trick nyingi wanafanya ili kupunguza gharama za uendeshaji na hasa gharama za chakula, ila Hakuna kuku wa siku 21 ispokuwa kuna Kuku wa Nyama, ambae Kwa kwetu anaweza kuliwa akiwa na week 4 au chini ya hapo na sometimes ata juu ya week 4 kama kutakuwa na changamoto za magonjwa na kupelekea kuku kudumaa na kutofikisha kilo 1 ndani ya week 4
Umeongea kwa uzoefu sana
 
Hao ni Kuku wa Nyama (broiler) ambao wao ili kuliwa kinachoangaliwa ni uzito wao na sio umri wao, Kwa huku kwetu wafugaji wanaanza kuwauza wakiwa na uzito wa 1kg ambayo hupatikana kati ya umri wa week 3-4, ila wenzetu huanza kuwala wakiwa na uzito wa kilo 2 ambazo hupatikana kati ya week 7-9

Sasa wafugaji wanafanya kila kinalowezekana ili kupunguza siku za kukaa nao maana kadri wanavyokaa ndio zaidi wanavokula, na zaidi wanavokula ndo zaidi wanavyoongeza gharama za uendeshaji, hizo siku 21 alizokuambia zinapatikana kwa ujanja na uzoefu wa wafugaji

Kwahiyo kuna trick nyingi wanafanya ili kupunguza gharama za uendeshaji na hasa gharama za chakula, ila Hakuna kuku wa siku 21 ispokuwa kuna Kuku wa Nyama, ambae Kwa kwetu anaweza kuliwa akiwa na week 4 au chini ya hapo na sometimes ata juu ya week 4 kama kutakuwa na changamoto za magonjwa na kupelekea kuku kudumaa na kutofikisha kilo 1 ndani ya week 4
Hapo saw, maana nilkua nawaza anafuga vp yey.
 
Back
Top Bottom