ankol
JF-Expert Member
- Aug 21, 2012
- 2,355
- 4,260
Habarini wadau
Kijana wenu nataka kua mjasiria mali.Nataka nianze ku supply kuku wa kienyeji kuku wa nyama katika mahoteli na migahawa mbalimbali.Point;Sitaki kuwa mfugaji bali nataka nikusanye kuku mikoani na kuwauza sehemu husika.
Ninachoomba kusikia kutoka kwako ni challenges za biashara hii.Na kwa mwenye ujuzi kidogo twaweza share hapa.
Nawasilisha.
Kijana wenu nataka kua mjasiria mali.Nataka nianze ku supply kuku wa kienyeji kuku wa nyama katika mahoteli na migahawa mbalimbali.Point;Sitaki kuwa mfugaji bali nataka nikusanye kuku mikoani na kuwauza sehemu husika.
Ninachoomba kusikia kutoka kwako ni challenges za biashara hii.Na kwa mwenye ujuzi kidogo twaweza share hapa.
Nawasilisha.