Biashara ya kunenepesha ng'ombe kuuza

Biashara ya kunenepesha ng'ombe kuuza

Nashukuru naona uzi wangu umeshanza kueleweka sasa mwanzoni nilipoandika nikaonekana kama sijui biashara vile, wakati watu tuna tengeneza pesa kirahisi kabisa, kama unakaa ofisini nashauri japo kutenga muda wakutembelea mradi japo mara 2 kabla ya kuuza.
Issue ya kutengeneza pesa ni pana! Ndo maana kuna wanaopata pesa ndefu zaidi yako, ila wako kimya,au wanakubeza! Kuna kitu kiuchumi tunaita RIR /RRI (Rate of Return to Investment) , yaani kwa kifupi ni uwiano wa shilingi unayowekeza kwa faida utakayopata. Yawezekana ungetuwekea mchanganuo wa kifedha wa biashara yako tungekushauri vinginevyo na baadae ukajipima.
 
Very Good. Tunatakiwa kuchangamka namna hiyo,na usishangae ukaja uza 500,000/= kila mmoja. Kitakachokukwamisha ni kama utauza soko la ndani. Jitahidi uuze nje ya nchi watakapokuwa tayari. Takwimu za karibuni,zinaonyesha nyama inadoda kutokana na ukwasi. Mfano Dar,kuna maeneo kilo moja ya nyama ni Tsh 5500/= ambayo huko nyuma ilikuwa 8000/= hadi 9000/=. Ukipiga hesabu,ngombe wa kilo 250 (kwa ambao unao hawatafika hivyo),akichinjwa 48% ndio nyama sawa na kg 120*5500/= sawa na 66000. Ina maana atanunuliwa kama 400,000/ hivi mnadani Pugu. Ila huyohuyo ukimpeleka mf. Kenya,waweza kupata 600,000/= au zaidi.
Issue ya vibali vya kusaifirisha nje ya nchi process ikoje mkuu?
 
Issue ya vibali vya kusaifirisha nje ya nchi process ikoje mkuu?
Vibali :
1. Export licence
2. Export livestock Health and Movement permit
na ulipe fee kwa kila mnyama.
3. Tanzania Meat Board Registration certificate
4. Invoice with common bank account to clarify the transactions
 
Vibali :
1. Export licence
2. Export livestock Health and Movement permit
na ulipe fee kwa kila mnyama.
3. Tanzania Meat Board Registration certificate
4. Invoice with common bank account to clarify the transactions

Mkuu thanks a lot. So number 1-3 zote zinapatikana Wizara ya Kilimo na Mifugo? Meat board nao bado wanahusika japo unasafirisha wanyama hai na si nyama?
 
I love cows, i love keeping them, i love their business, not only that my favourite foods are meat and milk. One yes!

I also do and we have too sidhani kama tuna-option nyingine. Everything from them ni mali mpaka kinyesi.
 
Mkuu thanks a lot. So number 1-3 zote zinapatikana Wizara ya Kilimo na Mifugo? Meat board nao bado wanahusika japo unasafirisha wanyama hai na si nyama?
Thanks too! No 1 to 3, need not to trot too far, communicate to Zonal Vet Offices. I'm now retired from that bussiness,but still hope no change in that formality.
 
Thanks too! No 1 to 3, need not to trot too far, communicate to Zonal Vet Offices. I'm now retired from that bussiness,but still hope no change in that formality.

Thanks tena mkuu!
 
Issue ya kutengeneza pesa ni pana! Ndo maana kuna wanaopata pesa ndefu zaidi yako, ila wako kimya,au wanakubeza! Kuna kitu kiuchumi tunaita RIR /RRI (Rate of Return to Investment) , yaani kwa kifupi ni uwiano wa shilingi unayowekeza kwa faida utakayopata. Yawezekana ungetuwekea mchanganuo wa kifedha wa biashara yako tungekushauri vinginevyo na baadae ukajipima.
Ni kweli, wote hatuwezi kuwa sawa kuna mwingine akipata million 2 kwake ni hela nyingi sana , ila kwa wa upande wa pili si chochote, so ni level tu za maisha na mahitaji ya mtu binafsi,
 
Ni kweli, wote hatuwezi kuwa sawa kuna mwingine akipata million 2 kwake ni hela nyingi sana , ila kwa wa upande wa pili si chochote, so
ni level tu za maisha na mahitaji ya mtu binafsi,
Maoni mazuri,waliofanikiwa zaidi,walianza kidogokidogo kama wewe,endelea kujiimarisha.
 
Ninakuelewa. Maana ya kunenepa,ni kuongezeka mafuta mwilini! Kitaalamu,hii ya kunenepesha ngombe haielezei kirahisi tu hivyo. I'm aware of the several ways of fattening meat animals. Nevertheless, scientifically,meat animal fattening implies increasing its body weight in a shorter time with determined level of its meat quality such as lean,fat,taste,tenderness,colour. Different nutritious feeds singly or in combination can solely be used or plus growth promoters to fatten meat animals.
Mkuu hapo me ninachoomba ni kujua ni kwa namna gani au mchanganyiko wa vyakula gani vinaweza kusaidia kunenepesha mifugo.
 
Ndugu,kama kuna ukame,naye mtoa post kasema unawachunga miezi miwili wananenepa! Loh! hii ikoje? Au majani yataota kwa vile unataka faida? Nahisi kuna mahali hujaeleza vizuri kuhusu kitu kinaitwa "Vyakula vya Ziada" hasa kipindi cha kiangazi.
Hapo inabidi ujiongeze mwenyewe. Ng'ombe halishwi kwa majani au kuchunga tu. Ukitaka kufahamu mbinu za kunenepesha ng'ombe kwa muda mfupi, muone mtaalamu wa mifugo aliye karibu nawe.
 
Mkuu hapo me ninachoomba ni kujua ni kwa namna gani au mchanganyiko wa vyakula gani vinaweza kusaidia kunenepesha mifugo.
Hii ni story ndefu na ya kitaalamu. Ila, kwa kifupi, na ili kukusaidia nijibie maswali haya,kabla sijaendelea na story
1. Hapo ulipo, kuna mazao gani yanalimwa kwa wingi?
2. Kuna viwanda vinavyosindika mazao hayo? Na ni mazao yapi husindikwa
3. Kama hakuna viwanda, kuna maduka ya vyakula na dawa za mifugo karibu na unakofanyia ufugaji?
 
Hii biashara in nzuri sana kama MTU atakuwa anaifanya serious. Kenya yupo baba ananebepesha ngombe 400kwa mwaka. Kwa nini Tanzania tunashindwa? Wenzetu wakenya wapo mbali sana .MTU mmoja anamiliki ngombe wa maziwa 200 kwa siku anakamua mpaka Lita 1500 .we have to think outside the box.
 
Hii biashara in nzuri sana kama MTU atakuwa anaifanya serious. Kenya yupo baba ananebepesha ngombe 400kwa mwaka. Kwa nini Tanzania tunashindwa? Wenzetu wakenya wapo mbali sana .MTU mmoja anamiliki ngombe wa maziwa 200 kwa siku anakamua mpaka Lita 1500 .we have to think outside the box.
Kwenye issue ya ngombe wa Maziwa,Tz wapo wanaozidi hao 200, na wanatoa maziwa zaidi. Kama lita 1500 kwa ngombe 200 means, Lita 7.5 kwa ngombe kwa siku which is very low.
Issue ya unenepeshaji Tz bado kwa sababu kuu mbili 1. Soko la nyama bora halijaimarika! Nyama mbaya na nzuri bei ni moja. 2. Porojo nyingi ktk sekta ya viwanda vya nyama,si vya watu binafsi,wala serikali. Kenya wana kitu kinaitwa KMC,ambacho ni chombo madhubuti kusimamia taratibu na uzalishaji nyama! Wako na experience ya kutosha. Tujifunze kwao.
 
Back
Top Bottom