siku hizi choroko,dengu, zinanunuliwa kupitia vyama vya ushirika tu,kuna kuwa na mnada kama wa korosho,ukinunua bila kufuata utaratibu huo mzigo utataifishwa.ni mwendo wa wakulima kukopwa tu,juzi wilaya ya magu mkoani manza mzigo wa karibia milioni 80 umetaifishwa