Tonnyodiero
New Member
- Nov 23, 2019
- 1
- 0
Habari wadau,
Mimi nipo Masasi Mjini na kwa muda huu ndo msimu wa choroko umeanza. Jamani, kama kuna mdau yeyote anataka kununua choroko kwa bei poa aje. Choroko zinalipa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nipo Masasi Mjini na kwa muda huu ndo msimu wa choroko umeanza. Jamani, kama kuna mdau yeyote anataka kununua choroko kwa bei poa aje. Choroko zinalipa.
Sent using Jamii Forums mobile app