Biashara ya kununua Engine Used

Mtoto Tajiri

JF-Expert Member
Joined
Sep 29, 2014
Posts
300
Reaction score
173
Habari wakuu!,Ni hv naomba kwa wale wenye uzoefu wa kuingiza Engine Used nchini,Hasa nahitaji kujua mambo haya;
1;Ni nchi gani hasa engine zipo cheap Japan au Dubai?
2:Kila Engine inagharimu kiasi gani hadi inafika nchini hasa Engine za 2L,3L,1kz.
3:Ni vipi unaweza kuzihakiki kama Engine zipo katika condition nzuri,sababu kuna Engine used nimeshuhudia baada ya kufungwa zinakula oil.
4:Mtaji kwa kuanzia biashara hii
Shukrani kwa wale wataochangia mada hii.
 
Wazo zuri sana mkuu,
Mie sio mzoefu sana ha hayo.
Ila nahisi Dubai ni rahisi zaidi,ila tu Japan zinakuwa hazijapinda sana na 2L kupata kwa kule ni ussue pia nyingi zipo Dubai na pia kwa tabu,maana soko la aina ya Engines linabadilika kutokana na kasi ya matoleo.
 
Karibu Sharjah hata ukitaka meli nzima ya engine utapata
 
Ni biashara nzuri sana,lakini si Japan wala Dubai hayo mambo yanapatikana Sharjah ambayo ni moja ya miji saba inayounda United Arabs Emirates,Ili kupata idea ya bei jaribu kupiga +97165328133 au alabeerauto@yahoo.com sina uhakika wa website lakini ukiandika alabeer auto utasikia mambo yake,usafirishaji ni cheap na kodi ni ndogo,meli ikitoka Emirates leo ndani ya siku kumi mzigo upo Dar.
 

Shukran mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…