Mtoto Tajiri
JF-Expert Member
- Sep 29, 2014
- 300
- 173
Kwa wale wanaojua au ni wazoefu wa biashara hii ya kununua magari yaliyopata Ajali na yale mabovu naomba tu share Idea,Nataka kujua mtaji pia njinsi ya manunuzi ili upate faida hasa hasa gari ziwe Canter,Corrola na Toyota hiace,Natanguliza shukrani.
Kama una Idea ya mambo ya spare za magari basi hili ni bonge la mpango la biashara.Mkuu kwa kifupi nimekupata,Shukrani kwa mchango wako,kuhusu idea ya magari ninayo sababu nafanya biashara ya Daladala najua bei ya karibu spare Zote ila nilitaka nijikite na huu upande wa pili ndio maana nilikuwa naomba mchanganuo mzima kwa ujumla.
Kwa wale wanaojua au ni wazoefu wa biashara hii ya kununua magari yaliyopata Ajali na yale mabovu naomba tu share Idea,Nataka kujua mtaji pia njinsi ya manunuzi ili upate faida hasa hasa gari ziwe Canter,Corrola na Toyota hiace,Natanguliza shukrani.
Bado hujakidhi vigezo na masharti ya mnunuzi,umeambiwa iwe imepata ajali,sasa wewe unauza nzima,vipi mkuu.mimi ninayo Nissan Safari ya zamani hajiapata ajali ila naiuza maana imezeeka sana. haitembei ila ikiwekwa betri 2 inawaka na kutembea vema tu. niPm kama utahitaji au kama una mtu anayehitaji.
Bado hujakidhi vigezo na masharti ya mnunuzi,umeambiwa iwe imepata ajali,sasa wewe unauza nzima,vipi mkuu.
Kwa kukusaidia tu,tafuta teja mpe laki moja tu halafu umuwashie akaipige kwenye mti pwaa, halafu umpigie jamaa aje ainunue,maana ajali itakuwa tayari imepataikana.