Mtoto Tajiri
JF-Expert Member
- Sep 29, 2014
- 300
- 173
Kwa wale wanaojua au ni wazoefu wa biashara hii ya kununua magari yaliyopata Ajali na yale mabovu naomba tu share Idea,Nataka kujua mtaji pia njinsi ya manunuzi ili upate faida hasa hasa gari ziwe Canter,Corrola na Toyota hiace,Natanguliza shukrani.