BABA TUPAC
JF-Expert Member
- Sep 30, 2015
- 1,527
- 3,811
Vipo vifaa vya kupima uchakachuaji wa maziwaWazo zuri ila uwe mwaminifu. Nasikia uchakachuaji upo sana kuna wauzaji wasio waamninifu wanaongeza unga maji na mafuta ya kula kuleta cream ya janja janja na ujazo mwingi.
Hahahaaa walai kwa mtindo huo bora chai ya rangi, unatia tangawiz na iriki mwendo mchibuyuuMkamuaaji anaongeza maji ili baada ya kumuibia boss lita kadhaa, boss anaongeza maji ili maziwa yawe mengi, mchuuzi anaekuja kununua kwa boss nae anaongeza maji ili apate faida, mtaani nako tukisha nunua toka kwa mchuuzi tunaongeza maji ili chai iwe nyingi tutoshe kwenye familia maana tuko mtu 9,bora unywe chai ya rangi tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Daah kitu serial dilution [emoji1] [emoji1] [emoji1]Mkamuaaji anaongeza maji ili baada ya kumuibia boss lita kadhaa, boss anaongeza maji ili maziwa yawe mengi, mchuuzi anaekuja kununua kwa boss nae anaongeza maji ili apate faida, mtaani nako tukisha nunua toka kwa mchuuzi tunaongeza maji ili chai iwe nyingi tutoshe kwenye familia maana tuko mtu 9,bora unywe chai ya rangi tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahhahahahaa nimecheka saaaana mkuuMkamuaaji anaongeza maji ili baada ya kumuibia boss lita kadhaa, boss anaongeza maji ili maziwa yawe mengi, mchuuzi anaekuja kununua kwa boss nae anaongeza maji ili apate faida, mtaani nako tukisha nunua toka kwa mchuuzi tunaongeza maji ili chai iwe nyingi tutoshe kwenye familia maana tuko mtu 9,bora unywe chai ya rangi tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh Hongera sana kwa kuwa na family ya watu 9 usawa huu?Mkamuaaji anaongeza maji ili baada ya kumuibia boss lita kadhaa, boss anaongeza maji ili maziwa yawe mengi, mchuuzi anaekuja kununua kwa boss nae anaongeza maji ili apate faida, mtaani nako tukisha nunua toka kwa mchuuzi tunaongeza maji ili chai iwe nyingi tutoshe kwenye familia maana tuko mtu 9,bora unywe chai ya rangi tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hofu ni vichanganyiko humo ndani siku hizi wanaweka maji ......maziwa yanakuwa mepesi....wanaboa sanaUzoefu mdogo nilionao kwa kuona, wanao uza maziwa kwa wingi wanapita mitaani na magari yao kama kwetu ni j3 na alhamis na bei ni shs1,500/=
Ha ha ha ha ha ha kweli kabisa hiyo ni dhahiriMkamuaaji anaongeza maji ili baada ya kumuibia boss lita kadhaa, boss anaongeza maji ili maziwa yawe mengi, mchuuzi anaekuja kununua kwa boss nae anaongeza maji ili apate faida, mtaani nako tukisha nunua toka kwa mchuuzi tunaongeza maji ili chai iwe nyingi tutoshe kwenye familia maana tuko mtu 9,bora unywe chai ya rangi tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndiyo mimi kidume siezi kuwa na watoto wawili toka ujanani mwangu then uzeeniDuh Hongera sana kwa kuwa na family ya watu 9 usawa huu?
Mkuu habari,samahani bado unafanya hii biashara? Mimi niko DSM natafuta wafugaji wa kuniuzia maziwa au wauzaji wa jumlaHabari zenu wakuu,
Kuna wafugaji kadhaa wapo Kibaha nilianza mazungumzo nao ya kununua maziwa kwao na kuyaleta kuuza Dar na wapo tayari kwa hilo.
Wao wamesema wataniuzia kwa sh 1000 kwa lita namimi nina mpango wa kuuza sh 1800 kwa lita.
Kwa ujumla wana uwezo wa kuniuzia lita mia mbili kila siku.
Sasahivi nipo nafanya research ya masoko, nafikiria wateja wakuu watakuwa ni kina nani ambao wanaweza kununua minimum ya litre tano kwa siku.
Naomba ushauri wa kimasoko na ushauri mwingine wowote ule wa kunisaidia katika biashara hii.
Mbarikiwe.