BABA TUPAC
JF-Expert Member
- Sep 30, 2015
- 1,527
- 3,811
Habari zenu wakuu,
Kuna wafugaji kadhaa wapo Kibaha nilianza mazungumzo nao ya kununua maziwa kwao na kuyaleta kuuza Dar na wapo tayari kwa hilo.
Wao wamesema wataniuzia kwa sh 1000 kwa lita namimi nina mpango wa kuuza sh 1800 kwa lita.
Kwa ujumla wana uwezo wa kuniuzia lita mia mbili kila siku.
Sasahivi nipo nafanya research ya masoko, nafikiria wateja wakuu watakuwa ni kina nani ambao wanaweza kununua minimum ya litre tano kwa siku.
Naomba ushauri wa kimasoko na ushauri mwingine wowote ule wa kunisaidia katika biashara hii.
Mbarikiwe.
Kuna wafugaji kadhaa wapo Kibaha nilianza mazungumzo nao ya kununua maziwa kwao na kuyaleta kuuza Dar na wapo tayari kwa hilo.
Wao wamesema wataniuzia kwa sh 1000 kwa lita namimi nina mpango wa kuuza sh 1800 kwa lita.
Kwa ujumla wana uwezo wa kuniuzia lita mia mbili kila siku.
Sasahivi nipo nafanya research ya masoko, nafikiria wateja wakuu watakuwa ni kina nani ambao wanaweza kununua minimum ya litre tano kwa siku.
Naomba ushauri wa kimasoko na ushauri mwingine wowote ule wa kunisaidia katika biashara hii.
Mbarikiwe.