merick modest
New Member
- Nov 6, 2017
- 1
- 0
Mbna inatoshaDuh! Mi mwenyew napenda sana kuifanya hiyo biashara ya nafaka ila tatzo mtaji wang ni kdogo mno 600,000
ngoja mwenyewe nisubiri majibu ya haya maswali ili nijazilizie taarifaWakuu kama kuna mtu mwenye ujuzi wa biashara ya kununua mpunga then anakoboa na kuuza mchele naomba anisaidie kujibu maswali yafuatayo.
1. Nitajuaje mpunga ambao nikikoboa hautovunjika?
2. Gunia la debe 10/10 la mpunga nikikoboa nitatoa debe ngapi za mchele?
3. Kati ya Mbeya na Iringa wapi kuna mpunga mzuri?
4. Bei za kusafirisha mchele mikoa hiyo miwili?
5. Bei ya kukoboa mpunga kati ya mikoa hiyo miwili?
Naombeni mnisaidie japo najaribu kutafa hizo information huku mtaani, nisaidie nami kijana mwenzako nifanikiwe ili niwasaidie wengine.
Karibuni PM pia
Kwan ww unataarifa zipi mkuungoja mwenyewe nisubiri majibu ya haya maswali ili nijazilizie taarifa
utaniita wWakuu kama kuna mtu mwenye ujuzi wa biashara ya kununua mpunga then anakoboa na kuuza mchele naomba anisaidie kujibu maswali yafuatayo.
1. Nitajuaje mpunga ambao nikikoboa hautovunjika?
2. Gunia la debe 10/10 la mpunga nikikoboa nitatoa debe ngapi za mchele?
3. Kati ya Mbeya na Iringa wapi kuna mpunga mzuri?
4. Bei za kusafirisha mchele mikoa hiyo miwili?
5. Bei ya kukoboa mpunga kati ya mikoa hiyo miwili?
Naombeni mnisaidie japo najaribu kutafa hizo information huku mtaani, nisaidie nami kijana mwenzako nifanikiwe ili niwasaidie wengine.
Karibuni PM pia
kaka taarifa zangu ni za kutoa mazao katavi(mpanda)Kwan ww unataarifa zipi mkuu
Utanishtua msimu ukifikapindi wakiwa wanavuna ndio muda mzur maana gunia la debe 6 linachezeaga kwenye 26-30 maana wanakua bado wana arosto la pesa.
Vitu vingne kama Ushuru na usafiri ni mamb madogo madogo tu.
MWENYEZI MUNGU akinijaalia huu msimu mwez wa tano nataka nianze na kimtaji changu kidogo.
Wakuu kama kuna mtu mwenye ujuzi wa biashara ya kununua mpunga then anakoboa na kuuza mchele naomba anisaidie kujibu maswali yafuatayo.
1. Nitajuaje mpunga ambao nikikoboa hautovunjika?
2. Gunia la debe 10/10 la mpunga nikikoboa nitatoa debe ngapi za mchele?
3. Kati ya Mbeya na Iringa wapi kuna mpunga mzuri?
4. Bei za kusafirisha mchele mikoa hiyo miwili?
5. Bei ya kukoboa mpunga kati ya mikoa hiyo miwili?
Naombeni mnisaidie japo najaribu kutafa hizo information huku mtaani, nisaidie nami kijana mwenzako nifanikiwe ili niwasaidie wengine.
Karibuni PM pia
Pindi nikiwa tayari nitakutafuta mkuuMkuu wengine tuna uzoefu wa haya maswali yako lakini nashindwa kukupa majibu ya moja kwa moja kutokana na mikoa uliotaja hapo tofauti na mimi nilipokua nachukulia ,so naweza kukupa majibu yasijiotosheleza kulingana na hitaji lako.
Ila kama hutaitaji ufafanuzi wangu mimi ambae nilikua nachukulia mchele maeneo ya ifakara,mang'ula kilombero ntashare nawe uzoefu
Asante
Wakuu kama kuna mtu mwenye ujuzi wa biashara ya kununua mpunga then anakoboa na kuuza mchele naomba anisaidie kujibu maswali yafuatayo.
1. Nitajuaje mpunga ambao nikikoboa hautovunjika?
2. Gunia la debe 10/10 la mpunga nikikoboa nitatoa debe ngapi za mchele?
3. Kati ya Mbeya na Iringa wapi kuna mpunga mzuri?
4. Bei za kusafirisha mchele mikoa hiyo miwili?
5. Bei ya kukoboa mpunga kati ya mikoa hiyo miwili?
Naombeni mnisaidie japo najaribu kutafa hizo information huku mtaani, nisaidie nami kijana mwenzako nifanikiwe ili niwasaidie wengine.
Karibuni PM pia
Adam unafanya hii biashara? Samahani maana nataka nikutafute tuyajenge1- Mpunga ambao hautavunjika wakati wa kukoboa utaujua kwa kupekecha kwenye viganja vyako sampuli ya mpunga unaotaka kukoboa km unakatika basi utaona umekatika karibia mpunga wote uliopekecha
2- Gunia la debe 10 unatoa kg 75-80 ambapo gunia ilo la mpunga linakua na kg 100-120
3- Mpunga mzuri unapatikana mbeya ambapo kamsamba kutoka chunya unashika namba moja,kufuatiwa mchele kutoka kyela na mwisho n mbalari katika mkoa wa mbeya ila mbarali ndio unapatikana mchele mwingi zaid takribana robo tatu ya mchele wote kutoka mbeya
4- Bei za kusafilishia mchele ni Tsh.7000/= kwa kila kg 100
5- Bei ya kukoboa mpunga ni Tsh5000 kwa kila gunia moja
Kama kunasehemu sijaeleweka nakaribisha maswali