Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wana JF heshima mbele,
Naomba kujua alie na upeo wa bishara ya kupasua kokoto kati ya Morogoro au dodoma..wapi pazuri na biashara yenyewe kwa ujumla na maeneo mazuri kwa kufunga mashine!
Nawasilisha
Kwanza kabisa hongera kwa kutaka kuwekeza kwenye sector hiyo ya ujenzi. Ila binafsi nilikua natafuta mashine za kusaga na kutengeneza kokoto na mashine ya kuyeyusha scraper na kutengeneza nondo kwa ajili ya ujenzi. Ninataka kujua upatikanaji wake, bei zake, gurantee, shipping charges etc. Kama una maujuzi yeyote tujuzane mkuu. Ntashukuru sana.
Barikiwa !!
Wana JF heshima mbele,
Naomba kujua alie na upeo wa bishara ya kupasua kokoto kati ya Morogoro au dodoma..wapi pazuri na biashara yenyewe kwa ujumla na maeneo mazuri kwa kufunga mashine!
Nawasilisha
Mkuu heshima Mbele,
Naona tuna interest sawa,bei iko juu kidogo hasa kwa sisi wajasiliamali wadogo google hawa ZENITH MININING & CONSTRUCTION MACHINERY LTD kwa bei ya machine za tani ndogo zaidi 40-60 Ton Per Hour inafika 200mil hadi hapa Tanzania...full set machines.
Kiwanda cha kuyeyusha nondo sijafanya utafiti ila ni gharama zaidi maana hata umeme wake ni balaaa sana!
Mkuu heshima Mbele,
Naona tuna interest sawa,bei iko juu kidogo hasa kwa sisi wajasiliamali wadogo google hawa ZENITH MININING & CONSTRUCTION MACHINERY LTD kwa bei ya machine za tani ndogo zaidi 40-60 Ton Per Hour inafika 200mil hadi hapa Tanzania...full set machines.
Kiwanda cha kuyeyusha nondo sijafanya utafiti ila ni gharama zaidi maana hata umeme wake ni balaaa sana!