kichwakili
Member
- Aug 19, 2017
- 27
- 23
Nadhani biashara ya kupeleka wida a.k.a bangi itakulipa sana.
#MaendeleoHayanaChama
Ndo maana wamalawi wengi fyatu-fyatu hvApo ni kama unaenda kuuza mchele mbeya(kyela)
Ndo maana wamalawi wengi fyatu-fyatu hv
Niliwahi kupata jimama la kimalawi full miuno kuzd vibinti vya IFMLazima wawe ivo maana hata pombe zao zile ni gongo
Niliwahi kupata jimama la kimalawi full miuno kuzd vibinti vya Ifm
Kombe uwanjaniπππ uliwakilisha taifa
Kombe uwanjani
Wengi wanaotokea Nkhata Bay weupe. Sio mbali ukitokea Mbamba Bay (wilaya ya Nyasa-unapanda meli 2 Nkhata Bay).Sema rangi kule wengi weusi sasa mimi na dark skin tena daah hapana
Wengi wanaotokea Nkhata Bay weupe. Sio mbali ukitokea Mbamba Bay (wilaya ya Nyasa-unapanda meli 2 Nkhata Bay).
Wakuu,
Mwenye uzoefu wa biashara ya nguo na vitu mbalimbali kutoka huku Tanzania kwenda kuuza Malawi naomba aliyewahi kufanya biashara nchini Malawi anipe uzoefu
Kwamba Jayz ππWengi huwa naona wanapeleka nguo za kiume pia zile CD zenye movie kibao ila sijuwi kama hii biashara bado inalipa kiasi hicho.Afu mmalawi akikuuliza nyumbani wapi we mwambie Kariakoo Dar es Salaam atakuona we ndo Jay z ama Drake.