Hamisi Mhoja
Member
- Nov 22, 2019
- 22
- 23
Unampango wa kwenda kufanya biashara wapi ?Jamani naomba ushauri kuhusu biashara ya kusafirisha abiria nilkuwa na mpango wa kununua hiace ambayo ni used nasikia Dar kuna yard zinauza hiace used.
Basi naomba ukweli kuhusu hili la hizi hiace kama zipo na bei zake, na kingine je hii biashara inalipa?
Nipo Bukoba Vijiijini, Nimeweka picha
View attachment 1369505
Sent using Jamii Forums mobile app
Alipata pesa ya urithi nn hahahaDa, nikiona hii kitu nakumbuka mjomba wangu masahibu aliyopitia na kuupata uzee wa ghafla sambamba na magonjwa tere. Sijui niseme bahati nayo huchangia au vipi.
ok anyway mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii biashara ni nzur endapo utapata sehemu sahihi ya kufanyia na ukapata watu sahihi wa kuwaajir na sehem ya mwisho mafund sahihi wa ku repear pind chombo kikiharibika.Pia jitahid sana kukijua chombo usiwe mtu wa kuelezewa tu.Jamani naomba ushauri kuhusu biashara ya kusafirisha abiria nilkuwa na mpango wa kununua hiace ambayo ni used nasikia Dar kuna yard zinauza hiace used.
Basi naomba ukweli kuhusu hili la hizi hiace kama zipo na bei zake, na kingine je hii biashara inalipa?
Nipo Bukoba Vijiijini, Nimeweka picha
View attachment 1369505
Sent using Jamii Forums mobile app
biashara inalipa na inaweza kukukata kutokana na eneo utakspofanyia hiyo biashara,usimamizi na utunzaji wa chombo pamoja na dereva utakayempata maana yeye ndio atahusika na swala zima la utunzaji,lakini biashara ya usafirishaji abiria inalipa sana kama ukiwa makini nayoJamani naomba ushauri kuhusu biashara ya kusafirisha abiria nilkuwa na mpango wa kununua hiace ambayo ni used nasikia Dar kuna yard zinauza hiace used.
Basi naomba ukweli kuhusu hili la hizi hiace kama zipo na bei zake, na kingine je hii biashara inalipa?
Nipo Bukoba Vijiijini, Nimeweka picha
View attachment 1369505
Sent using Jamii Forums mobile app