Hamisi Mhoja
Member
- Nov 22, 2019
- 22
- 23
Jamani naomba ushauri kuhusu biashara ya kusafirisha abiria nilkuwa na mpango wa kununua hiace ambayo ni used nasikia Dar kuna yard zinauza hiace used.
Basi naomba ukweli kuhusu hili la hizi hiace kama zipo na bei zake, na kingine je hii biashara inalipa?
Nipo Bukoba Vijiijini, Nimeweka picha
Sent using Jamii Forums mobile app
Basi naomba ukweli kuhusu hili la hizi hiace kama zipo na bei zake, na kingine je hii biashara inalipa?
Nipo Bukoba Vijiijini, Nimeweka picha
Sent using Jamii Forums mobile app