Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Wakuu,tujuzeni soko la nje ya Tanzania kwa mazao ya matunda kutoka kanda ya kati yenye matunda mengi ya ubuyu na zabibu
Kwa zabibu wenyewe wanalima sana huko kwa hiyo kupata soko ulaya ni kazi labda within Africa na ubuyu kwa kweli sina uhakika ila huwa naona kwenye maduka ya wahindi
Naomba kusahihishwa kama mimi ndio sielewi... Hivi Bakheresa ana-export any genuine food product or processed product into the developed world? Ninachojua ni kwamba yeye amefocus on the bottom of the pyramid ie the cost driven market. Ndio maana anatununulia processed coconut cream Thai anatugawia kiduchu kiduchu ambavyo size amnazo wao hawafungi ili japo mia tano ipate kazi siku ziende. Haya juoce zake haziendi popote nje ya Africa.mfano halisi ni bakheresa
kuna ndizi nyingi uganda kuliko bukoba/tz kwasababu ugana is more equatorial than tz na kuna mvua nyingi sana. hivyo, ndizi chache za bukoba hizo hazijafikia nyingi za uganda.Wakuu naomba ushauri wenu.
Nimekuwa nitembelea maduka mbali mbali katika nchi za Ulaya hasa UK na kukuta bidhaa kazaa za kutoka Uganda na Kenya lakini sijawahi kuona bidhaa zozote kutoka Tanzania katika maduka ya UK. Nikiwa Tanzania naona kuna matunda mengi kama Machungwa, Mahembe, Nanasi, Mapalachichi, nk zimerundikwa tu barabarani na vinauzwa kwa bei ya chini sana kulinganisha na bei ya Ulaya. Je kwa nini Watanzania hatuna akili ya kuweza kupeleka hivi vitu Ulaya na kupata soko zuri.
Mimi napenda sana ndizi Bukoba na huwa nazipata kwa urahisi sana katika Maduka ya UK zikiwa zina nembo ya (Product of Uganda). Hawa jamaa wananunua ndizi hata kutoka Bukoba na Karagwe. Sisi kwa nini tusifanye hivyo tena kutoka hata Mbeya? Waganda wanauza majimbi, viazi na hata nyanya chungu katika soko la Ulaya. Sisi tumelogwa?
Wakenya wametawala soko la maua, sisi kwa nini hatuwezi?
Naomba mawazo yenu
sisi tunapenda kwenda china kuleta fongkong
Wakuu naomba ushauri wenu.
Nimekuwa nitembelea maduka mbali mbali katika nchi za Ulaya hasa UK na kukuta bidhaa kazaa za kutoka Uganda na Kenya lakini sijawahi kuona bidhaa zozote kutoka Tanzania katika maduka ya UK. Nikiwa Tanzania naona kuna matunda mengi kama Machungwa, Mahembe, Nanasi, Mapalachichi, nk zimerundikwa tu barabarani na vinauzwa kwa bei ya chini sana kulinganisha na bei ya Ulaya. Je kwa nini Watanzania hatuna akili ya kuweza kupeleka hivi vitu Ulaya na kupata soko zuri.
Mimi napenda sana ndizi Bukoba na huwa nazipata kwa urahisi sana katika Maduka ya UK zikiwa zina nembo ya (Product of Uganda). Hawa jamaa wananunua ndizi hata kutoka Bukoba na Karagwe. Sisi kwa nini tusifanye hivyo tena kutoka hata Mbeya? Waganda wanauza majimbi, viazi na hata nyanya chungu katika soko la Ulaya. Sisi tumelogwa?
Wakenya wametawala soko la maua, sisi kwa nini hatuwezi?
Naomba mawazo yenu
You r the typical Tanzanian only talk, you saw an opportunity n u have started complaining and looking for Mchawi. Anza kazi , umeliona soko lollipop na unajua bidha zinapopatikana kwa urahisi, sasa wangoja nini ???? Au unataka kuilaumu serekali ya ccm?????
Watanzani tuuwazembe mnoo tujualo no kashfa na lawama. Nyerere alisema uchumi tunao lakini tumeukalia, wajanja tulatafsiri vingine.
Mimi nimeona wakenya wakinunua pilipili na ndimu Tanga na zinapelekwa Kenya.
Mir hivi nasafirisha korosho na mbaazi kupeleka India na ninajua Kuwa tuna bidhaa bringing tuu zenye soko njee
Naomba kusahihishwa kama mimi ndio sielewi... Hivi Bakheresa ana-export any genuine food product or processed product into the developed world? Ninachojua ni kwamba yeye amefocus on the bottom of the pyramid ie the cost driven market. Ndio maana anatununulia processed coconut cream Thai anatugawia kiduchu kiduchu ambavyo size amnazo wao hawafungi ili japo mia tano ipate kazi siku ziende. Haya juoce zake haziendi popote nje ya Africa.
Najua Arusha kuna company zina-export mbogamboga ulaya. Most wanalima wenyewe na pia wanaingia mikataba na wakulima wadogowadogo. Juzi nilipita sehemu nikakuta mzigo wa reject baby beans... Aisee zinavuto kidogo niombe nichambue japo sado moja nipeleke home... ukweli viwango viko juu na kwa ubabaishaji wetu wabongo hilo nalo lonaleta changamoto. Ningetamani sana niwe proven wrong... Inalipa sema nani anaweza kukomaa hadi akidhi masharti?
Naomba tugawane majukumu.naomba utafute taarifa juu ya taratibu za kuingiza matunda uingereza zinazohusu ubora,kodi na masoko hapo uingereza mimi nitafuatilia taratibu za hapa tanzania kusafirisha haya mazao Tanzania mpaka kufika huko UK.
Muda ni wiki mbili toka sasa.Je,utaweza?Mimi naweza.
Huu ni wakati wa kuchukua hatua na sio kulalamika.
mkuu itakuwa ni vyema mkkinishirikisha na mie
Hamna tatizo unakaribishwa na wewe kutoa mchango wako wa kutafuta taarifa kuhusu hii fursa.
Baada ya wiki mbili utaleta ulichopata na mimi nitaleta za kwangu.
aksante ngoja nianze mchakato wa kutafuta hizo taarifa nizilete tuone tunafanyaje wakuu
mkuu mm nimetoa mfano tu ila kama wewe unao unawafahamu nambie usijali
mkuu mm nimetoa mfano tu ila kama wewe unao unawafahamu nambie usijali
Wewe uko pande za wapi? Kama uko A-town kuna kampuni kama Serengeti veggies Ngaramtoni, nyingine iko Chekereni na Usa River wanaexport vitu tofauti including mboga na matunda. Pia zote zinalima kwa mikataba na wakulima wadogo ili kufit quotas perhaps na demand.
Mwisho wa hadithi pita TAHA (uzunguni jirani na Anglican church) watakupa requirements na ushauri juu ya mazao ya export, requirements na hata program zao za kuwezesha akina sie.
unaweza tutajia matunda wanayo .... wanatumia uwanja wa Jomo Kenyata.