AfricaUnited
JF-Expert Member
- Jul 31, 2010
- 2,367
- 1,293
Ndugu wanajamvi,
Kwa muda baada ya kuona watu baadhi ya makampuni yakisema yametumia mabilioni ya fedha kwa suppliers wazawa haswa makampuni makubwa.
Mfamo migodi, UN, viwanda vya cement, mahoteli kimataifa, Total, Songas, Oryx, Puma energy ni hasa ya kigeni.
Nimevutiwa kujua haya.
Naomba kujua ABC ya hizi biashara za kuuza vitu kwenye makampuni makubwa ya kigeni /viwanda.
1. Tender za kusupply Gpysum kwenye viwanda vya cement kama Twiga,simba au tembo cement
2. Ku-supply spare parts za machine, magari na mitambo kwenye makampuni makubwa.
3. Ku-supply mafuta au lubricants.
Ninahitaji kufanya zote au moja kati ya hizi.
Sijafanikiwa kukutana na yoyote mwenye uzoefu wa hizi nijue :-
*Mtaji una-range kiasi gani
*Ugumu wa kupata tenda
*Malipo. Wanalipa kwa wakati?
NB: Kampuni ninayo
Asante
Kwa muda baada ya kuona watu baadhi ya makampuni yakisema yametumia mabilioni ya fedha kwa suppliers wazawa haswa makampuni makubwa.
Mfamo migodi, UN, viwanda vya cement, mahoteli kimataifa, Total, Songas, Oryx, Puma energy ni hasa ya kigeni.
Nimevutiwa kujua haya.
Naomba kujua ABC ya hizi biashara za kuuza vitu kwenye makampuni makubwa ya kigeni /viwanda.
1. Tender za kusupply Gpysum kwenye viwanda vya cement kama Twiga,simba au tembo cement
2. Ku-supply spare parts za machine, magari na mitambo kwenye makampuni makubwa.
3. Ku-supply mafuta au lubricants.
Ninahitaji kufanya zote au moja kati ya hizi.
Sijafanikiwa kukutana na yoyote mwenye uzoefu wa hizi nijue :-
*Mtaji una-range kiasi gani
*Ugumu wa kupata tenda
*Malipo. Wanalipa kwa wakati?
NB: Kampuni ninayo
Asante