Nataka niwekeze io sekta nitafute vijana wapige kazi. je faida yake ipoje na changamoto zake.habarini Wana jf,, kama kichwa kunavyosem natak niwekeze io sekta nitafute vijana wapige kazi. je faida yake ipoje na changamoto zake. nahitaj ushaur kwa wenye kuijua hii biashara.
@everyone
[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]hii hadi uwapate watu wa kutoka mbali usukumani au kigoma huko ila wa dar wauzaji wa sura hawaweziChangamoto ni kupata hao watembezaji, wengi wanaona aibu
Ila huwa nawaona wale wanaotembeza barafu/ice cream[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]hii hadi uwapate watu wa kutoka mbali usukumani au kigoma huko ila wa dar wauzaji wa sura hawawezi