Safi sana mkuu! Mungu akusaidie ufanikishe then uje utujuze tuje kupiga kazi! Achana na mambo za kuwafanya watu waishi kishetaniWakuu mwenye uelewa na biashara ya kutengenez bati, "roll forming " naomba tupeane uzoefu.
1. Roll forming machine bei gani
2. Inatengeneza aina ngapi za bati glazed etc
3.uagizaji wa coils na kodi zake.
4.coil moja ntapata mita 3 urefu na upana mita moja ngapi
5.soko la kilimanjaro liko vpi
6.je nikiwa na mtaji wa 70m naweza kuanza.