Wakuu mwenye uelewa na biashara ya kutengenez bati, "roll forming " naomba tupeane uzoefu.
1. Roll forming machine bei gani
2. Inatengeneza aina ngapi za bati glazed etc
3.uagizaji wa coils na kodi zake.
4.coil moja ntapata mita 3 urefu na upana mita moja ngapi
5.soko la kilimanjaro liko vpi
6.je nikiwa na mtaji wa 70m naweza kuanza.
1. Roll forming machine bei gani
2. Inatengeneza aina ngapi za bati glazed etc
3.uagizaji wa coils na kodi zake.
4.coil moja ntapata mita 3 urefu na upana mita moja ngapi
5.soko la kilimanjaro liko vpi
6.je nikiwa na mtaji wa 70m naweza kuanza.