Biashara ya kutengeneza CD

Biashara ya kutengeneza CD

MTOTO KITAA

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2013
Posts
245
Reaction score
115
Wakuu habarii?

Naomba kwa MTU yoyote ambaye anafahamu hii biashara ya kuchukua move kwenye mtandao kisha kubarn na kuziweka kwenye CD, au dvd, namaanisha biashara ya aliyokuwa anafanya lufufu,

pia naomba unifahamishe je kuna sehemu maalumu wanazozalisha hizo CD, na kwa bei gani kuzalisha hizo CD, pia je wapi wanauza Yale makava ya zile CD, naamini jamii forum hakishindikani kitu,msaada nitapata, asanteni.
 
[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
 
Nenda kariakoo mtaa nyuma ya majengo yanayotazamana na kituo cha msimbazi.
 
Wakuu habarii?

Naomba kwa MTU yoyote ambaye anafahamu hii biashara ya kuchukua move kwenye mtandao kisha kubarn na kuziweka kwenye CD, au dvd, namaanisha biashara ya aliyokuwa anafanya lufufu,

pia naomba unifahamishe je kuna sehemu maalumu wanazozalisha hizo CD, na kwa bei gani kuzalisha hizo CD, pia je wapi wanauza Yale makava ya zile CD, naamini jamii forum hakishindikani kitu,msaada nitapata, asanteni.

Nifuate pm
 
Back
Top Bottom