Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unafanya biashara gan uliyoanza nayo kwa mil 1?Mm nilianza na milioni moja Tu, but now si haba. Tatizo michanganuo mingi inatengezwa na watu ambao hawajawahi Fanya biashara labda mleta Uzi tuambie kama umeshawahi Fanya biashara yeyote
Mm nilianza na milioni moja Tu, but now si haba. Tatizo michanganuo mingi inatengezwa na watu ambao hawajawahi Fanya biashara labda mleta Uzi tuambie kama umeshawahi Fanya biashara yeyote
hawapo hao watuNaelewa Mkuu ... mimi mwenyewe sina ila kuna watu wanazo na hawajui wawekeze wapi
Humu ukiona uzi wa biashara ujue pesa ni millioni kadhaa... ushauri wa laki moja matijiri wa Jf hawanamm nataka nfanye biashara ya laki moja wakuu nipeni ushauri serious
ngoja nikabetie tu hela ynguuHumu ukiona uzi wa biashara ujue pesa ni millioni kadhaa... ushauri wa laki moja matijiri wa Jf hawana
Usibeti subiri kwanza tujadilingoja nikabetie tu hela ynguu
Mie nataka biashara ya chips kwenye vyuo vyote vya darHabari za Asubuhi wakuu humu ndani natumahi mko poa.
Sasa kama mada inavyojieleza hapo juu, mimi nimekuwa nikifanya utafiti mbalimbali hapa Dar es Salaam kuhusu biashara ambazo mtu ukizifanya kwa sasa ni haraka tu unatoboa kimaisha. Miongoni mwa biashara hizo ni biashara ya kuuza nafaka kwa jumla na rejareja, kuuza chakula chenyewe hapa namaanisha restaurant pamoja na biashara ya simu na accessories.
Nina mchanganuo wa biashara zote tajwa hapo juu, kuanzia mtaji wa milioni 5 ili kuweza kufanikiwa kwa urahisi zaidi. Kwa yeyote mwenye mtaji ambao hana wazo wala mchanganuo wa biashara namkaribisha tuweze kushirikiana.
Watu wa sampuli hii niwakupigwa nyundo unaleta mada isiyo na kichwa wala miguuu then unawambia watu wakufuate PM mtaji wenyewe sasa eti 5mHabari za Asubuhi wakuu humu ndani natumahi mko poa.
Sasa kama mada inavyojieleza hapo juu, mimi nimekuwa nikifanya utafiti mbalimbali hapa Dar es Salaam kuhusu biashara ambazo mtu ukizifanya kwa sasa ni haraka tu unatoboa kimaisha. Miongoni mwa biashara hizo ni biashara ya kuuza nafaka kwa jumla na rejareja, kuuza chakula chenyewe hapa namaanisha restaurant pamoja na biashara ya simu na accessories.
Nina mchanganuo wa biashara zote tajwa hapo juu, kuanzia mtaji wa milioni 5 ili kuweza kufanikiwa kwa urahisi zaidi. Kwa yeyote mwenye mtaji ambao hana wazo wala mchanganuo wa biashara namkaribisha tuweze kushirikiana.
Una hela lakini nimuoga wakufanya biashara. Nikushauri kitu kimoja wekeza kwenye experience na sio idea hiyo ela yakoHabari za Asubuhi wakuu humu ndani natumahi mko poa.
Sasa kama mada inavyojieleza hapo juu, mimi nimekuwa nikifanya utafiti mbalimbali hapa Dar es Salaam kuhusu biashara ambazo mtu ukizifanya kwa sasa ni haraka tu unatoboa kimaisha. Miongoni mwa biashara hizo ni biashara ya kuuza nafaka kwa jumla na rejareja, kuuza chakula chenyewe hapa namaanisha restaurant pamoja na biashara ya simu na accessories.
Nina mchanganuo wa biashara zote tajwa hapo juu, kuanzia mtaji wa milioni 5 ili kuweza kufanikiwa kwa urahisi zaidi. Kwa yeyote mwenye mtaji ambao hana wazo wala mchanganuo wa biashara namkaribisha tuweze kushirikiana.
Experiences kivipi mkuu sijaelewaUna hela lakini nimuoga wakufanya biashara. Nikushauri kitu kimoja wekeza kwenye experience na sio idea hiyo ela yako
Experience uliyokuwa nayo kwenye jambo lolote ndio uwekeze hela yako huko, maana hiyo jambo walijua in and outExperiences kivipi mkuu sijaelewa
Fanya mpango wa mchanganuo mkuuHabari za Asubuhi wakuu humu ndani natumahi mko poa.
Sasa kama mada inavyojieleza hapo juu, mimi nimekuwa nikifanya utafiti mbalimbali hapa Dar es Salaam kuhusu biashara ambazo mtu ukizifanya kwa sasa ni haraka tu unatoboa kimaisha. Miongoni mwa biashara hizo ni biashara ya kuuza nafaka kwa jumla na rejareja, kuuza chakula chenyewe hapa namaanisha restaurant pamoja na biashara ya simu na accessories.
Nina mchanganuo wa biashara zote tajwa hapo juu, kuanzia mtaji wa milioni 5 ili kuweza kufanikiwa kwa urahisi zaidi. Kwa yeyote mwenye mtaji ambao hana wazo wala mchanganuo wa biashara namkaribisha tuweze kushirikiana.