Biashara ya kutuma fax

Biashara ya kutuma fax

mito

JF-Expert Member
Joined
Jun 20, 2011
Posts
10,682
Reaction score
10,801
Wakuu, naomba ushauri kuhusu biashara ya kutuma fax. Nina stationery yangu Tabora, nafikiria kuweka huduma ya fax manake kuna mteja mmoja mmoja wanapitaga kuulizia hii huduma. Kwa vile sina uzoefu nayo naomba maoni yenu kuhusu:
1. mashine ya fax inayofaa
2. utaratibu wa kuunganishwa (nasikia sijui lazima uwe na simu ya landline halafu sijui ndo iweje....)
3. changamoto za biashara yenyewe

Natanguliza shukrani zangu za dhati kwa mawazo yenu!
 
Wakuu, naomba ushauri kuhusu biashara ya kutuma fax. Nina stationery yangu Tabora, nafikiria kuweka huduma ya fax manake kuna mteja mmoja mmoja wanapitaga kuulizia hii huduma. Kwa vile sina uzoefu nayo naomba maoni yenu kuhusu:
1. mashine ya fax inayofaa
2. utaratibu wa kuunganishwa (nasikia sijui lazima uwe na simu ya landline halafu sijui ndo iweje....)
3. changamoto za biashara yenyewe

Natanguliza shukrani zangu za dhati kwa mawazo yenu!

Fax machines zipo nyingi tu usihufu kuhusu aina za machine zenyewe.
Ila naona kama vile siku hizi watuma fax sio wengi sana, watu wengi wamehamia kwenye email.
Ila ili uweze kuunganishwa na huduma ya fax, lazima uwe na landline (kama simu za kawaida za mezani za TTCL).
Ukishakuwa na landline, hapo jamaa wa TTCL watakuunganisha na huduma ya fax (baada ya kununua fax machine).
Changamoto ni uhaba wa wateja wa fax. Huku Dar fax kama vile hazitumiki kabisa... Sijui huku uliko !!
 
Fax machines zipo nyingi tu usihufu kuhusu aina za machine zenyewe.
Ila naona kama vile siku hizi watuma fax sio wengi sana, watu wengi wamehamia kwenye email.
Ila ili uweze kuunganishwa na huduma ya fax, lazima uwe na landline (kama simu za kawaida za mezani za TTCL).
Ukishakuwa na landline, hapo jamaa wa TTCL watakuunganisha na huduma ya fax (baada ya kununua fax machine).
Changamoto ni uhaba wa wateja wa fax. Huku Dar fax kama vile hazitumiki kabisa... Sijui huku uliko !!

Nashukuru kwa kunipa mwongozo mkuu. Vipi hawa TTCL wanachaji kadri unavyotumia hiyo fax? au wana fixed charge per month bila kujali umefanya biashara/umehudumia wateja wangapi?
 
Nashukuru kwa kunipa mwongozo mkuu. Vipi hawa TTCL wanachaji kadri unavyotumia hiyo fax? au wana fixed charge per month bila kujali umefanya biashara/umehudumia wateja wangapi?

TTCL wana-charge kwa bili jinsi unavyotumia.
Kama vile wanavyo-charge simu za mezani za landline.
 
Back
Top Bottom