mito
JF-Expert Member
- Jun 20, 2011
- 10,682
- 10,801
Wakuu, naomba ushauri kuhusu biashara ya kutuma fax. Nina stationery yangu Tabora, nafikiria kuweka huduma ya fax manake kuna mteja mmoja mmoja wanapitaga kuulizia hii huduma. Kwa vile sina uzoefu nayo naomba maoni yenu kuhusu:
1. mashine ya fax inayofaa
2. utaratibu wa kuunganishwa (nasikia sijui lazima uwe na simu ya landline halafu sijui ndo iweje....)
3. changamoto za biashara yenyewe
Natanguliza shukrani zangu za dhati kwa mawazo yenu!
1. mashine ya fax inayofaa
2. utaratibu wa kuunganishwa (nasikia sijui lazima uwe na simu ya landline halafu sijui ndo iweje....)
3. changamoto za biashara yenyewe
Natanguliza shukrani zangu za dhati kwa mawazo yenu!