Biashara ya kuuza chipsi mjini

Biashara ya kuuza chipsi mjini

SMART PASSENGER

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2018
Posts
968
Reaction score
1,022
Naomba ushauri wenu wa kinaga ubaga nataka kuanzisha biashara hii ....!

Je

Biashara hii inalipa ?
Zipi faida na hasara zake ?
Na nyongeza nyingine nyingi karibuni katika jukwaa tena

Nakaribisha
 
Ukipata sehem center yenye traffic (people moving) karibia na lami utapiga kichz. Best of Luck !!
 
Back
Top Bottom