Biashara ya Kuuza Mkaa: Uzoefu, Vibali vya kuchoma, Changamoto na Ushauri

Biashara ya Kuuza Mkaa: Uzoefu, Vibali vya kuchoma, Changamoto na Ushauri

Kama kichwa cha Habari kinavyoeleza

Naomba kwa Yeyote mwenye kuelewa Taratibu za kupata vibali vya kuchoma mkaa anijulishe bila kusahau changamoto za Biashara hiyo
 
Kama kichwa cha Habari kinavyoeleza Naomba kwa Yeyote mwenye kuelewa Taratibu za kupata vibali vya kuchoma mkaa anijulishe bila kusahau changamoto za Biashara hiyo
Kuna vitu viwili wapaswa kuelewa

1.Kuna kibali na usajili
Ili uweze kuifanya biashara hii ya uvunaj mazao ya misitu lazma uwe na usajili toka maliasili via TFS ........baada ya kupata usajili ukitaka kwenda kuchukua mkaa wako kuuleta mjini utakat T.P (transit pass )umeita kibali ..

2.wachomaji mkaa kule vijijin ambao huchoma na kuutayarsha kuwauzia watu wenye usajili kwa ajili ya kupeleka mjin wao huwa wanakata na kuchoma bila kibal huko kijijin (nani anawaona TFS wako mjin tu )ila inatakiwa wew ukiwa na usajili uwapatie lesen ambayo utapewa ukienda TFs kulipia kwaajili ya kutoa mzigo ......

Kwaujumla haya n maelezo ya kina ila kwaswal lako kule kijijin wanaokat hawana kibal n shughul hufanyka msitun
 
Kuna vitu viwili wapaswa kuelewa

1.Kuna kibali na usajili
Ili uweze kuifanya biashara hii ya uvunaj mazao ya misitu lazma uwe na usajili toka maliasili via TFS ........baada ya kupata usajili ukitaka kwenda kuchukua mkaa wako kuuleta mjini utakat T.P (transit pass )umeita kibali ..

2.wachomaji mkaa kule vijijin ambao huchoma na kuutayarsha kuwauzia watu wenye usajili kwa ajili ya kupeleka mjin wao huwa wanakata na kuchoma bila kibal huko kijijin (nani anawaona TFS wako mjin tu )ila inatakiwa wew ukiwa na usajili uwapatie lesen ambayo utapewa ukienda TFs kulipia kwaajili ya kutoa mzigo ......

Kwaujumla haya n maelezo ya kina ila kwaswal lako kule kijijin wanaokat hawana kibal n shughul hufanyka msitun
Ahsante umenipa mwangaza
 
Kama kichwa cha Habari kinavyoeleza Naomba kwa Yeyote mwenye kuelewa Taratibu za kupata vibali vya kuchoma mkaa anijulishe bila kusahau changamoto za Biashara hiyo
Na usajili wa kufanya biashara hii vmetolewa tayar toka septemba ...na hutolewa Mara moja kwa mwaka ....mchakato huanza mwez wa sita ..........ka utaweza ungeanza biashara ya kuni ambayo n nyepes shinda hii ili mwakan ukiwa na pesa uchukue kibal cha mkaa ukipenda ila ukianza kuni hutoziacha ..niamini
 
Na usajili wa kufanya biashara hii vmetolewa tayar toka septemba ...na hutolewa Mara moja kwa mwaka ....mchakato huanza mwez wa sita ..........ka utaweza ungeanza biashara ya kuni ambayo n nyepes shinda hii ili mwakan ukiwa na pesa uchukue kibal cha mkaa ukipenda ila ukianza kuni hutoziacha ..niamini
Kwa Arusha sijajua soko la kuni likoje ila nitalifuatilia nione soko lake likoje
 
Na usajili wa kufanya biashara hii vmetolewa tayar toka septemba ...na hutolewa Mara moja kwa mwaka ....mchakato huanza mwez wa sita ..........ka utaweza ungeanza biashara ya kuni ambayo n nyepes shinda hii ili mwakan ukiwa na pesa uchukue kibal cha mkaa ukipenda ila ukianza kuni hutoziacha ..niamini
Na hivyo vibali vya mkaa hua vinatolewa kwa bei gani
 
mkikata hyo miti pandeni mingine....
nyie ndio mnasababisha joto na uharibifu wa ardhi

serikali yatakiwa isiwape hivyo vibali... chombo kikikamatwa na mkaa kinakuwa mali ya serikali...
ukikamatwa unachoma mkaa faini iwe 20mil au kifungo cha miaka 10 jela au vyote....
pia washike mali za wachoma mkaaa
 
mkikata hyo miti pandeni mingine....
nyie ndio mnasababisha joto na uharibifu wa ardhi

serikali yatakiwa isiwape hivyo vibali... chombo kikikamatwa na mkaa kinakuwa mali ya serikali...
ukikamatwa unachoma mkaa faini iwe 20mil au kifungo cha miaka 10 jela au vyote....
pia washike mali za wachoma mkaaa
Kuotesha miti ni moja ya masharti ya kupata hiyo leseni Serikali ina Akili kuliko Wewe usifikiri wanatoa tuu leseni
 
mkikata hyo miti pandeni mingine....
nyie ndio mnasababisha joto na uharibifu wa ardhi

serikali yatakiwa isiwape hivyo vibali... chombo kikikamatwa na mkaa kinakuwa mali ya serikali...
ukikamatwa unachoma mkaa faini iwe 20mil au kifungo cha miaka 10 jela au vyote....
pia washike mali za wachoma mkaaa
Rubbish ...usikurupuke na maneno ya vijiwen ....unakamatwaje na una vibali
 
kama kichwa cha habari kinavyo jieleza natafuta business partner kwa ajili ya kuendeleza biashara ya stoo ya Mkaa stoo ipo tayari ila nataka kuiboost iwe kubwa zaidi, stoo ipo sehemu yenye watu wengi hivyo wateja siyo wa kubembeleza tukiwa watatu itapendeza zaidi hata management ya pesa itakuwa nzuri kwa alie tayari na anataka kuiona stoo tuwasiliane 0654352424
nyongeza biashara ya mkaa ni ya uhakika kutoka na faida binafsi napataga wivu napo ona wenzangu wakishusha gunia 100 wakati mm nashusha 10 so that i want to boost it. Nipo dar es salaam
 
Back
Top Bottom