Biashara ya Kuuza vitenge kutoka Kigoma natafuta Business Partners

Wa kusoma

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2011
Posts
3,454
Reaction score
2,975
Biashara ya Vitenge. Natafuta bussnes Partiners mikoa ya Dar, Mwanza, Dodoma, Singida, Mbeya, Tabora na Shinyanga

Nataka kuanza kufanya biashara ya kuuza na kusafirisha vitenge kutoka Kigoma kwenda mikoa niliyotaja hapo juu naomba aliyeko tayari tuwasiliane hapa tukishaelewana vizuri tutaenda pm tukitoka hapo namba za simu na biashara itaanza mara moja.

Nawasilisha.

Namna tutakavyofanya biashara nitaiweka hapa baada ya kupata wadau.
 
Busness partiner mwenye capital, idea au?
 
Arusha vipi? Hautaji biznes patna?

Duh! Arusha sina mtu wa karibu sana huko lkn kama unaweza tunaweza kuangalia tufanyeje.

Mikoa yote niliyoweka nina watu wa karibu wanaoishi mkoa husika hivyo tunaweza kufanya mawasiliano kupitia huyo maana naamini hatuwezi kuaminiana direct kupitia mitandao hii.

Kama tunaweza kupata link we can do it
 
Busness partiner mwenyecapital,idea au?

Naomba nikujibu kama ifuatavyo

1. Idea tayari ndio hii kwa hiyo sihitaji tena idea labda namna ya kuboresha
2. Kuhusu capital/mtaji kama una wateja wa kuwauzia kwako sio ishu maana mm tayari mtaji ninao kama unauza dukani kwako mzigo wangu ukishafika ofcn kwako ndio unanitumia pesa ndio maana nimetaja mikoa ambayo nina link.
 

Okay fanya mambo namie niwe nauza mashuka/vitenge vya lekatutigite.
 

Kumbe kazi uliyoipata kupitia JF uliipata kigoma? Sasa unataka kumuibia mwajiri wako muda kufanya biashara? Jokes usipanic wakusoma
 
Kumbe kazi uliyoipata kupitia JF uliipata kigoma? Sasa unataka kumuibia mwajiri wako muda kufanya biashara? Jokes usipanic wakusoma

Teheheeeeeee, mh! Mkuu mbona umefika huko duh! Angalia usinichonganishe na mwajiri wangu unaweza shitukia mtu unahamishiwa Loliondo au Kiteto.
 
Kumbe kigoma kuna kiwanda cha vitenge? Sasa mbona hayo maeneo uliyoyataja yanazalisha vitenge tena yanapata vingine kutoka china? Una ahueni ya ushindani?
 
Kumbe kigoma kuna kiwanda cha vitenge? Sasa mbona hayo maeneo uliyoyataja yanazalisha vitenge tena yanapata vingine kutoka china? Una ahueni ya ushindani?

naomba nikueleweshe mkuu, Vitenge vyote unavyoona wanawake wa Dar akiwemo mama Salma vinatoka Kigoma, kuna vitenge vya aina tofauti lkn kwa vile ww sio mzoefu nadhani tafuta anayejua hapo jirani yako utajua.
Kimsingi ni kweli kabisa na hakika Kigoma hakuna kiwanda cha vitenge lkn naomba nisikueleze vinatoka wapi labda PM
 

Si umwambie tu vinatoka Nigeria kupitia Goma (DRC). Kungekuwa na ndege za mizigo kuja Dar ilikuwa ni bora zaidi kuchukua moja kwa moja toka Abuja.
 
King kong three nitafute tufanye mchongo ni pm bila shaka utafrai nawasilisha
 
Anaetaka business partners aletewe uko Arusha em ni pm fasta vitenge ni original kutoka congo changamkia fursa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…