waukweli100
Senior Member
- Aug 18, 2014
- 193
- 24
Kama una wax au kama vitenge vyako original twende mozambique tukabige hela,namba yangu ni 0718375766
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Biashara ya Vitenge. Natafuta bussnes Partiners mikoa ya Dar, Mwanza, Dodoma, Singida, Mbeya, Tabora na Shinyanga
Nataka kuanza kufanya biashara ya kuuza na kusafirisha vitenge kutoka Kigoma kwenda mikoa niliyotaja hapo juu naomba aliyeko tayari tuwasiliane hapa tukishaelewana vizuri tutaenda pm tukitoka hapo namba za simu na biashara itaanza mara moja.
Nawasilisha.
Nko dar embu toa conditions tupige kazi
Hauwezi kupakia vitenge kwenye ndege ni sawa na kupakia cement itakuwa ghali sana na lazima iwe cargo flight.Si umwambie tu vinatoka Nigeria kupitia Goma (DRC). Kungekuwa na ndege za mizigo kuja Dar ilikuwa ni bora zaidi kuchukua moja kwa moja toka Abuja.
Biashara ya Vitenge. Natafuta bussnes Partiners mikoa ya Dar, Mwanza, Dodoma, Singida, Mbeya, Tabora na Shinyanga
Nataka kuanza kufanya biashara ya kuuza na kusafirisha vitenge kutoka Kigoma kwenda mikoa niliyotaja hapo juu naomba aliyeko tayari tuwasiliane hapa tukishaelewana vizuri tutaenda pm tukitoka hapo namba za simu na biashara itaanza mara moja.
Nawasilisha.
Namna tutakavyofanya biashara nitaiweka hapa baada ya kupata wadau.