DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
I hope Wote wazima na walio wagonjwa Mungu awape Tumaini jipya wapate kupona na kurejea katika Majukumu yao Aminaš
Tuje katika wazo
Mimi Ni kijana 24Yrs naishi Dsm kwa sasa hivi nimepata wazo la kuanza kuuza Vyombo vya kupikia kwa capital ya 400k tu .
Nahitaji kujua starting point
Mimi niliwaza kuwa nauza katika Minada mbalimbali au kutembeza kwa Mguu sehemu tofauti tofauti.
Mwenye nyongeza asikose kutoa Maoni yake
Nb Mtu wa kujiita Smart AJ sihitaji comment yako hapa.
Tuje katika wazo
Mimi Ni kijana 24Yrs naishi Dsm kwa sasa hivi nimepata wazo la kuanza kuuza Vyombo vya kupikia kwa capital ya 400k tu .
Nahitaji kujua starting point
Mimi niliwaza kuwa nauza katika Minada mbalimbali au kutembeza kwa Mguu sehemu tofauti tofauti.
Mwenye nyongeza asikose kutoa Maoni yake
Nb Mtu wa kujiita Smart AJ sihitaji comment yako hapa.