Biashara ya mabasi ya mwendokasi (UDART) ikadhibiwe Sekta Binafsi kabla haijafia mikononi mwa Serikali na kuitia aibu kubwa

Toka tupate uhuru ndio PM wa hovyo kuwahi kutokea,yupo tuko kazi yake kuvaa suti na kuzurura.
 
Kisena mwenyewe huo mradi alikuwa anauendesha ovyo tu

Ova
 
Hio miaka miwili toka wameacha kutumia tiketi za electronic PM hakuwa na taarifa?!!!

Hii nchi maigizo ni mengi,viongozi wanajua kucheza movies kuzidi hadi wahindi!! Serikali ina taarifa zote za kila siku kuhusu mwenendo wa huo mradi,hayo mengine ya kufanya ziara za kustukiza ni janja tu ya nyani!!
Tuachane na huo mradi ni mradi gani wa huduma unao simamiwa na serikali hizi za CCM unao onyesha ufanisi!!
 
Kisena nae ni mbabaishaji tu,huwezi kuleta mabasi utegemee tax holiday!!

Mabenki yako chungu mzima,alishindwa kwenda benki kwa dhamana ya hayo mabasi,achukue mkopo alipe kodi ya serikali!!

Lengo lake alitaka aingize mabasi hayo kinyemela kwa makubaliano na serikali kuwa atalipa pindi yakianza kufanya kazi!!ili baadae aje na sound za kwamba hapati faida na vieelelezo uchwara!!ili asilipe kodi!! Kisena ni aina ya wawekezaji uchwara.
 
Wapo watu wengine wengi zaidi ya Kisena wanaoweza kuendesha hiyo biashara.
Kisena mwenyewe huo mradi alikuwa anauendesha ovyo tu

Ova
 
Kitu usichokijua ni kuwa huo mradi unaendeshwa na sekta binafsi.

Tatizo ni jinsi hiyo sekta binafsi ilivyopatikana.

Simon group ni scam
Halafu sekta binafsi yenyewe ikapewa na mpaka mtaji na serikali,ikapewa route ambazo gari zingine aziendi na bado wameshindwa,kuna kampuni nyingi zinaendesha miradi kama ule nje ya africa,wawape ule mradi kwani washakua na uzoefu wa biashara ya usafiri,lakini sio hao wezi kina kisena na riz moko
 
Mi nasubiria kifo cha SGR. Pesa kibao imekula lakini najua tutakula hasara mpaka tutakoma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…