Kisima
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 4,114
- 4,486
Akaenda mbali kwa kusema kuwa inahtaji makucha manne ya mnyama anayeitwa mhanga*> mnyama huyu kwa wasiomfahamu ni kwamba anasifika sana kwa kuchimba mahandaki marefu kwa muda mfupi sana na hachoki. So hii ndo ingredient kubwa nikiipata basi kila kitu kitakuwa sawa!
Kiukweli mimi nilimpuuza ila alinisistiza kuwa kama siamini basi niwaulize wadau wanaojihusisha na madini nyada za juu kusini hasa MBEYA.
Labda tu nichukue wasaa huu kuuliza kwa wadau kama mlishawahi kukutana na huyu mzee ambaye nisingependa kumtaja jina lake hapa ila yeye ni Msafwa kutokea ILOMBA MBEYA so kama mnamjua vzr mwageni sifa zake hapa kabla sijaanza kushiriki mambo haya maana kiukweli mm ktk utaftaji wangu i vowed not to involve superstitious believes!
Kiukweli mimi nilimpuuza ila alinisistiza kuwa kama siamini basi niwaulize wadau wanaojihusisha na madini nyada za juu kusini hasa MBEYA.
Labda tu nichukue wasaa huu kuuliza kwa wadau kama mlishawahi kukutana na huyu mzee ambaye nisingependa kumtaja jina lake hapa ila yeye ni Msafwa kutokea ILOMBA MBEYA so kama mnamjua vzr mwageni sifa zake hapa kabla sijaanza kushiriki mambo haya maana kiukweli mm ktk utaftaji wangu i vowed not to involve superstitious believes!