Biashara ya madini ni kichaa. Kaka yangu kapoteza milioni 120 mwezi huu nimemkuta ameshaanza kudata

Biashara ya madini ni kichaa. Kaka yangu kapoteza milioni 120 mwezi huu nimemkuta ameshaanza kudata

Shooter Again

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2022
Posts
5,603
Reaction score
9,263
Aisee naandika huu Uzi nikiwa nimekuja kumtembelea kaka yangu hospital hapa Mbeya, aisee hii biashara sio ya kuingilia kichwa kichwa.

Huwezi amini nipo hospitali maana broo kama akili zishaanza kuwehuka, vitu anavyoongea havieleweki aisee, haamini kama kafukia milioni 120.

Nawashauri ndugu zangu wana jamiiforums hii sio biashara ya kufanya, ni kama inauchawi fulani hivi!
 
Aisee naandika huu Uzi nikiwa nimekuja kumtembelea kaka yangu hospital hapa mbeya aisee hii biashara sio ya kuingilia kichwa kichwa huwezi amini nipo hospital maana broo kama akili zishaanza kuwehuka vitu anavyo9ngea havieleweki aisee haamini kama kafukia million 120 nawashauri ndugu zangu wanajamii forum hii sio biashara ya kufanya kama inauchawi Fulani hivi
Pole,, funguka zaidi kusaidia wengine. Kapotezaji 120M? Ukute hakuwa anajua anachofanya
 
hatare sana ndo mambo ya kuchukua risk hayo, kuna kupata na kukosa, ukiwaza kupata tu kisha ukakosa lazima dishi licheze kidogo.

Kuna raia alipoteza mil30 kwenye dhahabu akajifungia ndani miezi sita, huyu wa mil120 simpatii picha
 
Aisee naandika huu Uzi nikiwa nimekuja kumtembelea kaka yangu hospital hapa mbeya aisee hii biashara sio ya kuingilia kichwa kichwa huwezi amini nipo hospital maana broo kama akili zishaanza kuwehuka vitu anavyo9ngea havieleweki aisee haamini kama kafukia million 120 nawashauri ndugu zangu wanajamii forum hii sio biashara ya kufanya kama inauchawi Fulani hivi
Ukiijulia ni nzuri mkuu!Kuna Jamaa yangu Moro anadeal na madini ya Luby Yuko vizuri kwa Sasa,hamshindi nchi hii hata ujumbe wa Trump kufungua misaada , yeye alikuwa huko USA!
 
Biashara zote zina faida na hasara, ila ya madini yataka usikurupuke anza biashara nyuma ya mtu ukiisoma na kuzijua njia zake zote hasa wale wapiga chabo ili ununue mchanga, kwenye duara kama huna vifaa madhubuti vya kupima mali ilipo utajikuta unaua mke na watoto ukipeleka viungo kwa waganga ili upate mkanda wa madini la sivyo ndo ivo pesa itaisha ukichimba moram
 
Back
Top Bottom