MAKANGEMBUZI
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 2,670
- 7,655
Nilishwahi kulizungumza hili humu JF lakini washirikina wale hawakunielewa.....huko chunya exploration shanta wametenga bajeti ya kutosha kufanya utafiti mashimo ya DD yanachimbwa ya kutosha kufanya utafiti na shimo moja linaweza kwenda mpka 150M halafu wewe na 120M yako uje upate mzigo kizembe.Wachimbaji wadogo wengi wanafanya kwa kubahatisha, hawafanyi utafiti.
Madini siyo maharage ambayo unapanda sehemu na kuyaona yanavyokua. Kwenye madini, unatafuta kitu ambacho hukuweka wewe wala rafiki yako. Hivyo hatua ya kwanza ni kufanya utafiti, siyo kuchimba. Unachimba baada ya kufanya utafiti, na kujua yako wapi,, kwa kiwango gani.