LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 18,037
- 33,681
Sio kweliBro Biashara ya Madini Matambiko ni lazima Alafu usichokijua Wazungu na Wahindi Ni watu noma Sana Kwenye Hizo mambo".
Ndio maana Hata uwe kigagula kiasi gani Huwezi kuiba benki,au kuiba Madini Mgodini".