Japkas
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 3,011
- 4,617
Mbona kapoteza pesa kidogo sana. Wenzake wanapoteza 500M-1B na hawarudishi silaha ghalani. Hapo ndio anakomaa inatakiwa arudi tena. Hii kanuni nafikiri hakuizingatia "The higher the return the higher the risk. Ukipigwa umepigwa na ukipiga umepiga. Asifikiri wakina Mdimi na mdogoake Misgwa mpaka wanapata jiwe la over 24B walipoteza 10M.Aisee naandika huu Uzi nikiwa nimekuja kumtembelea kaka yangu hospital hapa Mbeya, aisee hii biashara sio ya kuingilia kichwa kichwa.
Huwezi amini nipo hospitali maana broo kama akili zishaanza kuwehuka, vitu anavyoongea havieleweki aisee, haamini kama kafukia milioni 120.
Nawashauri ndugu zangu wana jamiiforums hii sio biashara ya kufanya, ni kama inauchawi fulani hivi!
Akiamka afute vumbi asonge na safari asibaki alipoangukia au kuahirisha safari