eliva the king
Member
- Jul 9, 2022
- 39
- 32
Wadau ni kwa mara ya kwanza naandika humu hii ni kutokana na kujifunza vtu vingi kupitia kwenu hivyo nahitaji kujua wapi nitapata mahindi ya bei ya 60 kwa gunia hasa mkoa ya Katavi, Kigoma na kwingine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uko wapi na ni Bei gani huko boss? Au wajua Bei za wapi?Huwezi Pata kwa Bei hiyo kaka
Bei ya serikali kwa gunia la kilo mia ni elf 80 na! Jiongeze kidogo mkuuWadau ni kwa mara ya kwanza naandika humu hii ni kutokana na kujifunza vtu vingi kupitia kwenu hvyo nahtaji kujua wapi napata mahindi ya bei ya 60 kwa gunia hasa mkoa ya Katavi, Kigoma na kwingine
kwan ugomvi mkuu naulza kujua kama kuna sehemu na kama haipo nambie kwnu ni sh ngp80-100 kama unataka 60 kalime yakoo
kwan ugomvi mkuu naulza kujua kama kuna sehemu na kama haipo nambie kwnu ni sh ngp
Mahindi ya elfu 60 kwa gunia kalime yako. Awe kanunue kijijini kwenu kama wamevuna vizuri mwaka huu, ni ushauri tu.
Watz tuna shida ya food securityMwanza ni 110,000 jana nimenunua gunia moja la debe 6
Katavi kwa sasa ni 90000 gunia, soon tunafika 110000Wadau ni kwa mara ya kwanza naandika humu hii ni kutokana na kujifunza vtu vingi kupitia kwenu hvyo nahtaji kujua wapi napata mahindi ya bei ya 60 kwa gunia hasa mkoa ya Katavi, Kigoma na kwingine
Jamaa ana magroup ya whatsapp pia kwa wasiopenda telegram ngoja nimtafute then nitaiweka link hapa,vipi telegram unaiogopa kwa sababu gani mkuu?Naogopa sana kuwa na telegram kwenye cm yangu
Nitamfikishia ujumbe ataufanyia kazi naona leo yuko bize,lakini kwa ushauri wangu binafsi kama kuna bidhaa umeipenda kwa jamaa na pesa yako imepungua usisite kumuweka wazi jamaa ni mtu muelewa sana namjua.Ila bei zako hazitofautiani na zinazouzwa Bongo, kiufupi ni kama bei zile zile.
Kuna products bei zake ni kubwa kuliko bei za mtandaoni Amazon ya uae, noon etc
Ili uvutie watu wengi jaribu kurekebisha bei
elfu 60 mwaka huu?? hiyo bei hata shambani hupati.Wadau ni kwa mara ya kwanza naandika humu hii ni kutokana na kujifunza vtu vingi kupitia kwenu hivyo nahitaji kujua wapi nitapata mahindi ya bei ya 60 kwa gunia hasa mkoa ya Katavi, Kigoma na kwingine