Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unataka Gunia kutoka Dubai [emoji1][emoji1]Gunia la kilo 100 la mahindi unauzaje mkuu?
😄😄 Ndio mkuu,Maana Tangazo lake liko kwny thread za mahindi mkuu.Unataka Gunia kutoka Dubai [emoji1][emoji1]
[emoji38][emoji38][emoji38] nakubali[emoji1][emoji1] Ndio mkuu,Maana Tangazo lake liko kwny thread za mahindi mkuu.
Marketing is an art.
Kwa mwaka huu uwez kupata kuna wakenya wamejaa wanazinunua balaa na wakulima walinunua mbolea gunia 120,000, vijijin wanakolima mahind sana kama mbozi debe ni 12,000 ambako bei miaka mingne ilikiwa ni 3500 mwez kama huiuWadau ni kwa mara ya kwanza naandika humu hii ni kutokana na kujifunza vtu vingi kupitia kwenu hivyo nahitaji kujua wapi nitapata mahindi ya bei ya 60 kwa gunia hasa mkoa ya Katavi, Kigoma na kwingine
hyo bei sio mbaya mkuu kama mzgo unapatkana wa kutosha yaan ndan ya wk 2 una tann20 inalpa sana tu! kuna sehemu wananunua kwa kilo hvyo ukipma debe lazma lkulpe maana linq ziadaKwa mwaka huu uwez kupata kuna wakenya wamejaa wanazinunua balaa na wakulima walinunua mbolea gunia 120,000, vijijin wanakolima mahind sana kama mbozi debe ni 12,000 ambako bei miaka mingne ilikiwa ni 3500 mwez kama huiu
Kwa bei hiyo boss si rahisi kupata ila me naweza kukupa kwa 65 karibu tuyajenge. Nna imani hatuwezi kushindwanaWadau ni kwa mara ya kwanza naandika humu hii ni kutokana na kujifunza vtu vingi kupitia kwenu hivyo nahitaji kujua wapi nitapata mahindi ya bei ya 60 kwa gunia hasa mkoa ya Katavi, Kigoma na kwingine
Wewe na yeye ni kitu 1Nitamfikishia ujumbe ataufanyia kazi naona leo yuko bize,lakini kwa ushauri wangu binafsi kama kuna bidhaa umeipenda kwa jamaa na pesa yako imepungua usisite kumuweka wazi jamaa ni mtu muelewa sana namjua.
wap wanauza kwa kilo mkuu msaana tafadhar nijuehyo bei sio mbaya mkuu kama mzgo unapatkana wa kutosha yaan ndan ya wk 2 una tann20 inalpa sana tu! kuna sehemu wananunua kwa kilo hvyo ukipma debe lazma lkulpe maana linq ziada
naomba namba yako mkuuKwa bei hiyo boss si rahisi kupata ila me naweza kukupa kwa 65 karibu tuyajenge. Nna imani hatuwezi kushindwana
mkuu naomba unitafute tuongee 0755156871Kwa bei hiyo boss si rahisi kupata ila me naweza kukupa kwa 65 karibu tuyajenge. Nna imani hatuwezi kushindwana
Yagike tu laki na 20..[emoji91][emoji91]Kwetu ni 90. Mwaka huu mgumu na wakenya wameshavamia corridor yote ya Arusha Babati Katesh Singida. Siku mbili zijazo yanafika laki