Biashara ya mahindi mabichi

Biashara ya mahindi mabichi

nilishawahi kulima na ni kilimo kizuri sana na kinalipa sana endapo ukikifanyia timing... kati ya msimu na msimu yani sokoni uende kuuza muhindi upo pekee yako utapata pesa mpaka utashangaa tatizo humu watu wanakatisha wenzao tamaa na anayekatisha tamaa hajawah kufanya hicho kilimo
Kuna jamaa mmoja alilima kwa kutumia laki tatu akapata milioni ndani ya miezi mitatu. Sema yule jamaa anachapa kazi sana hiyo laki tatu aliweza sababu vitu vingi alifanya yeye. Maeneo ya Kitonga
 
Back
Top Bottom