Juzi nilipost humu kuhusu fulsa ya biashara ya mahindi Rwanda lakini response naona imekuwa ndogo nawalioonyesha interest hawako serious at all.
Mfanyabiashara mwenye uwezo wa kusupply mahindi Kigali, aje inbox tupange biashara.
Cha mhimu ni ubora wa mahindi manake huku quality ni mhimu sana..
Mfanyabiashara mwenye uwezo wa kusupply mahindi Kigali, aje inbox tupange biashara.
Cha mhimu ni ubora wa mahindi manake huku quality ni mhimu sana..