Biashara ya Mahindi toka mikoani inalipa?

Biashara ya Mahindi toka mikoani inalipa?

DATOGA

Member
Joined
Nov 17, 2011
Posts
82
Reaction score
24
Wana JF kwanza nawasalimuni kwa heshima kubwa sana. Nimekuwa nikisoma maoni ya wachangiaji tofauti na nimegundua JF ni Online University there are real great thinkers (i admit that). Anyway......
Naomba wanajamii mnishauri kama Biashara ya kutoa nafaka hasa MAHINDI toka mikoani kuleta Dar kama inalipa.
 
Back
Top Bottom