bila kufanya processing ya hizo nafaka unazonunua mikoani hutafanikiwa -- ukizingatia gharama zifuatazo:
a) Ukusanyaji -- gharama za ukusanyaji, accomodations, man power for at least 10 days kwa Tani kumi. Huko mikoani utanunua kwa debe Tshs 5000 ambalo ni kilo 18. Kujaza mzigo Tani Kumi utahitaji 2,780,000/= million.
b) Usafiri -- Lazima utakodi fuso -- lets say unachukulia mzigo Tanga or Moro approx 800,000/- mpaka manzese sokoni.
Add: 2,780,000+800,000 = 3,580,000= Million. Gharama ya kuleta Tani 10 toka mikoani.
Kuuza:
Bei ya sasa ni Tshs. 380 mpaka 390 whole sale kwa sasa = kwa hiyo Tani 10 inakuwa 10,000 x 390 = 3.9m.
Faida yako:
3,900,000 -3,585,000 = 315,000 ( FAIDA YAKO KULETA MZIGO WA TANI 10 TOKA TANGA & MORO & DODOMA)
Hapo hujaweka gharama zingine zingine - maji ya kunywa, nk nk . ---- ndiyo maana jamaa kakwambia lazima ufanye processing, otherwise mzee unapoteza muda.