Biashara ya Majeneza na kuhifadhi wafu... mawazo yenu!!

Biashara ya Majeneza na kuhifadhi wafu... mawazo yenu!!

hahahahaaa! Leo nakuja usiku wa manane kuja kuongea na wewe kisha kukuelewesha,ukisikia kishindo juu ya bati au kuota ndoto yoyote mbaya tambua ni mimi huyo nimeingia.

Thubutu, Malaika watakutungua ungali angani. Ukija kwa nchi kavu utakutana na moto mara tu ukanyagapo eneo langu
 
Mazingira,Narubongo kwani ninyi mwaogopa nini hasa?uogope kutafuta pesa kisa unaogopa kuitwa mchawi wakati sivyo?vp huko mahospital hao wachawi wamewekewa fence ya mionz hata washndwe kuzipata hzo maiti wanazotaka?ninyi mnaojidai kuogopaogopa ndo wanga wakubwa mnataka kupoteza lengo watu wasiwashitukie,tena mshndwe na mlegeee!
 
The promis,watu wengi wanapenda biashara za kuuza mahitaji ya nyumbani tu,unakuta mtaa mzima maduka tu sasa mtu akianzisha biashara ambayo hawakuwahi kuiona kwanza watashanga kisha wata dis,na mtu akifanikiwa kupitia hilo ndo utaona jinsi watu wanavyo copy an paste.
 
Personally hii biashara siitaki hata kuisikia, bora nife na njaa zangu!
 
Jiandae kutengwa, kuchukiwa bila sababu wewe na familia yako, kuhamishwa kwa nguvu mtaani maana kelele za wafiwa zitawaadhiri watu kisaikolojia
utabadilishwa tabia maana biashara ni biashara ukiizoea utasahau kuwa ni deal ya watu kufa au kupoteza wapendwa wao, ikitokea mmekwaruzana utawajibu vibaya wafiwa bila kukusudia au utakataa punguzo la bei na hapo ndio kuitwa katili maana utakuwa huna hisia na huzuni za wengine
ujiandae kisaikolojia maana ukimpigia simu mtu au kumtembelea kama kuna ugonjwa waweza tolewa nje kwa kuhisiwa umekuja kufanya deal za baishara yako
Kutoweza kufanya biashara nyingine yoyote maana kutokana na hayo juu, bidhaa zako au huduma zako nyingine zote zitasusiwa
Maombi yako kila kukicha "Mungu lete vifo vingi leo nipate wateja!" joking
NB Corona sio biashara ya maiti wale wanachonga jeneza na kutoa car services na mapambo, maiti ni issue nyingine, pia huujui undani wao au jinsi gani inawaadhiri vile tu unaiona business yao kwa nje.
 
Back
Top Bottom